Nataka kuamini Dkt. Mataragio si mwanasiasa, ni Msomi anayejikita katika utaalamu wa alichosomea

Nataka kuamini Dkt. Mataragio si mwanasiasa, ni Msomi anayejikita katika utaalamu wa alichosomea

Watu wengi kama wewe hawajui mchango wa tpdc kwenye uchumi ama maisha yao ya kila siku.

Watu wengi wanaijua TANESCO ila hawajui wanaosapoti tanesco kwenye kazi zake ni kina nani.

Kwa kukusaidia, umeme unauona unawaka nchi hii 60% unatokana na gas na hiyo gas mmiliki wake ni tpdc.

Tpdc anaiuzia gas tanesco kwenye mitambo yake ya kinyerezi, ubungo na pia tpdc anaiuzia gas songas ambayo inazalisha umeme inauizia tanesco.

Kwa hiyo zaidi ya 60% ya umeme unatokana na gas na mmiliki wa hiyo gas ni tpdc.

Tpdc ni kampuni yenye makusanyo ghafi zaidi ya bilioni 600 kwa mwaka, maana yake inakusanya zaidi ya bilioni 50 kwa mwezi kutokana nakuuza gas.

Pamoja na hilo tpdc ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia utafiti na uchimbaji wa gas na mafuta kwenye ardhi ya Tanzania.

Sheria ya mafuta ya mwaka 2015 iliipa tpdc mamlaka ya kua shirika la mafuta la taifa ama National Oil Company, hivyo inatakiwa ianze biashara ya kuagiza na kuuza mafuta kwa jumla na rejareja(bulk and retail) na sheria inaitaka tpdc iwe na umiliki wa 50% ama zaidi wa mafuta yanayoingizwa hapa nchini. Ndio maana unaona wameanza biashara ya kuuza mafuta, wameanzisha sheli(vituo vya kuuza mafuta) zao na wanatakiwa kila mwaka kujenga ama kurent/lease sheli 5 kwa mwaka.

Unaona kwa uchache tpdc ina ulaji mwingi sana maana wana mamlaka kama hawawezi jambo basi walipeleke kwenye private sector kwa sharing agreements. Unaona hapo jinsi kuna potential ya mikataba minono ya mafuta, gas na mambo kama hayo.

Mataragio toka ameingia pale amekua kikwazo kwa madalali na wapiga deal ambao wanataka mtu wao awepo pale awapitishie deals, mikataba na mambo kama hayo watajirike haraka. Ndio maana unaona kila siku zengwe juu yake.
Inapaswa Matarajio awekewe Walinzi kama kweli tu Wazalendo na tuna thamini mchango wake

Biashara ya Mafuta na Gas Dunian imejaa watu katili sana hata kufadhili uharamia mkubwa
 
Sawa tisa...nauliza tuu.....inamana anaeteua si yeye ama..yaan kwamba analetewa majina na kupitisha ama...y asione b4...that means .......,
 
Inapaswa Matarajio awekewe Walinzi kama kweli tu Wazalendo na tuna thamini mchango wake

Biashara ya Mafuta na Gas Dunian imejaa watu katili sana hata kufadhili uharamia mkubwa
Kama mhede wa TRA ana walinzi binafsi ama bodyguard 2 wa serikali kuna haja ya kumuwekea James walinzi 2 pia maana sekta anayoisimamia ina umafia sio wa kitoto.

Mgogoro wa James ama shida yake iko pale hataki kupokea rushwa na hataki madalali wa kibongo na matapeli wa nje ya nchi kujimilikisha vitalu vya utafiti na uchimbaji gas uhamie mikononi wao.

James anataka gas itunufaishe watanzania wote na sio iende kwa cartels na watu wachache wafaidike wakati ile ni rasilimali yetu sote.

James anajua kilichotokea kwenye madini mengine kama dhahabu maana amewahi kua boss Anglo Gold miaka ya nyuma anajua tulivyokua tunapigwa.

Lakini pia kwa uzoefu wake kufanya kazi kwenye makampuni mengine ya mafuta na gas nchi nyingine ana uzoefu wa kutosha kujua wapi hawa watu hua wanatupiga, yeye ameziba hiyo mianya, hilo ndio kosa lake.

Madalali hawataki aendelee pale ili waweke mtu wao awapitishie michongo yao. Hapendwi kuanzia kwenye board, wakubwa wizarani na lobbist wengine wa chama na serikali.
 
Kama mhede wa TRA ana walinzi binafsi ama bodyguard 2 wa serikali kuna haja ya kumuwekea James walinzi 2 pia maana sekta anayoisimamia ina umafia sio wa kitoto.

Mgogoro wa James ama shida yake iko pale hataki kupokea rushwa na hataki madalali wa kibongo na matapeli wa nje ya nchi kujimilikisha vitalu vya utafiti na uchimbaji gas uhamie mikononi wao.

James anataka gas itunufaishe watanzania wote na sio iende kwa cartels na watu wachache wafaidike wakati ile ni rasilimali yetu sote.

James anajua kilichotokea kwenye madini mengine kama dhahabu maana amewahi kua boss Anglo Gold miaka ya nyuma anajua tulivyokua tunapigwa.

Lakini pia kwa uzoefu wake kufanya kazi kwenye makampuni mengine ya mafuta na gas nchi nyingine ana uzoefu wa kutosha kujua wapi hawa watu hua wanatupiga, yeye ameziba hiyo mianya, hilo ndio kosa lake.

Madalali hawataki aendelee pale ili waweke mtu wao awapitishie michongo yao. Hapendwi kuanzia kwenye board, wakubwa wizarani na lobbist wengine wa chama na serikali.
Mwenyezimungu amlinde

Kuwa Mzalendo zama hizi unahitaji kuwa jasiri kuliko enzi za Ukoloni maana si ajabu wakimkosa kote wakamsakizia sijui kanyanyasa kijinsia wasaidizi wake n.k
 
Watu wengi kama wewe hawajui mchango wa tpdc kwenye uchumi ama maisha yao ya kila siku.

Watu wengi wanaijua TANESCO ila hawajui wanaosapoti tanesco kwenye kazi zake ni kina nani.

Kwa kukusaidia, umeme unauona unawaka nchi hii 60% unatokana na gas na hiyo gas mmiliki wake ni tpdc.

Tpdc anaiuzia gas tanesco kwenye mitambo yake ya kinyerezi, ubungo na pia tpdc anaiuzia gas songas ambayo inazalisha umeme inauizia tanesco.

Kwa hiyo zaidi ya 60% ya umeme unatokana na gas na mmiliki wa hiyo gas ni tpdc.

Tpdc ni kampuni yenye makusanyo ghafi zaidi ya bilioni 600 kwa mwaka, maana yake inakusanya zaidi ya bilioni 50 kwa mwezi kutokana nakuuza gas.

Pamoja na hilo tpdc ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia utafiti na uchimbaji wa gas na mafuta kwenye ardhi ya Tanzania.

Sheria ya mafuta ya mwaka 2015 iliipa tpdc mamlaka ya kua shirika la mafuta la taifa ama National Oil Company, hivyo inatakiwa ianze biashara ya kuagiza na kuuza mafuta kwa jumla na rejareja(bulk and retail) na sheria inaitaka tpdc iwe na umiliki wa 50% ama zaidi wa mafuta yanayoingizwa hapa nchini. Ndio maana unaona wameanza biashara ya kuuza mafuta, wameanzisha sheli(vituo vya kuuza mafuta) zao na wanatakiwa kila mwaka kujenga ama kurent/lease sheli 5 kwa mwaka.

Unaona kwa uchache tpdc ina ulaji mwingi sana maana wana mamlaka kama hawawezi jambo basi walipeleke kwenye private sector kwa sharing agreements. Unaona hapo jinsi kuna potential ya mikataba minono ya mafuta, gas na mambo kama hayo.

Mataragio toka ameingia pale amekua kikwazo kwa madalali na wapiga deal ambao wanataka mtu wao awepo pale awapitishie deals, mikataba na mambo kama hayo watajirike haraka. Ndio maana unaona kila siku zengwe juu yake.
Mungu wangu kwanza shukran kwa elimu ....pili aisee huyo farasi aliyetenguliwa angeshika tungepotea maslai ya tanzania kwanza
 
Sawa tisa...nauliza tuu.....inamana anaeteua si yeye ama..yaan kwamba analetewa majina na kupitisha ama...y asione b4...that means .......,
Bi mkubwa sasa muda wa kurelux haupo akiletewa kitu inabidi akisome na kuwapa watu wakichunguze kabla hakijaja public
 
Kama mhede wa TRA ana walinzi binafsi ama bodyguard 2 wa serikali kuna haja ya kumuwekea James walinzi 2 pia maana sekta anayoisimamia ina umafia sio wa kitoto.

Mgogoro wa James ama shida yake iko pale hataki kupokea rushwa na hataki madalali wa kibongo na matapeli wa nje ya nchi kujimilikisha vitalu vya utafiti na uchimbaji gas uhamie mikononi wao.

James anataka gas itunufaishe watanzania wote na sio iende kwa cartels na watu wachache wafaidike wakati ile ni rasilimali yetu sote.

James anajua kilichotokea kwenye madini mengine kama dhahabu maana amewahi kua boss Anglo Gold miaka ya nyuma anajua tulivyokua tunapigwa.

Lakini pia kwa uzoefu wake kufanya kazi kwenye makampuni mengine ya mafuta na gas nchi nyingine ana uzoefu wa kutosha kujua wapi hawa watu hua wanatupiga, yeye ameziba hiyo mianya, hilo ndio kosa lake.

Madalali hawataki aendelee pale ili waweke mtu wao awapitishie michongo yao. Hapendwi kuanzia kwenye board, wakubwa wizarani na lobbist wengine wa chama na serikali.
Tutapaza sauti isikike,km hawajakipata wanachokitaka wanaweza kukutoa roho kbs hawa majini watu
 
Alitenguliwa na jiwe na akarudishwa na jiwe.
Alifanya kazi bila usumbufu enzi za Mkwere.

Mkwere bado yupo hivyo atafanya kazi bila usumbufu!! Ninaamini kabisa Mkwere kamshitua Rais juu ya kuondolewa kwa Mataragio!!! Nchi hii haipendi wasomi ndio maana fitina nyingi sana.
 
wakuu kama jamaa bado anafanya kazi marekani mpaka muda huu maana yake hapa bongo yupo ofisini kivuli tu yaan hakai ofisini wanakaa makaimu sasa ofisi bongo lkn muhusika marekan sijaelewa hapa
 
Watu wengi kama wewe hawajui mchango wa tpdc kwenye uchumi ama maisha yao ya kila siku.

Watu wengi wanaijua TANESCO ila hawajui wanaosapoti tanesco kwenye kazi zake ni kina nani.

Kwa kukusaidia, umeme unauona unawaka nchi hii 60% unatokana na gas na hiyo gas mmiliki wake ni tpdc.

Tpdc anaiuzia gas tanesco kwenye mitambo yake ya kinyerezi, ubungo na pia tpdc anaiuzia gas songas ambayo inazalisha umeme inauizia tanesco.

Kwa hiyo zaidi ya 60% ya umeme unatokana na gas na mmiliki wa hiyo gas ni tpdc.

Tpdc ni kampuni yenye makusanyo ghafi zaidi ya bilioni 600 kwa mwaka, maana yake inakusanya zaidi ya bilioni 50 kwa mwezi kutokana nakuuza gas.

Pamoja na hilo tpdc ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia utafiti na uchimbaji wa gas na mafuta kwenye ardhi ya Tanzania.

Sheria ya mafuta ya mwaka 2015 iliipa tpdc mamlaka ya kua shirika la mafuta la taifa ama National Oil Company, hivyo inatakiwa ianze biashara ya kuagiza na kuuza mafuta kwa jumla na rejareja(bulk and retail) na sheria inaitaka tpdc iwe na umiliki wa 50% ama zaidi wa mafuta yanayoingizwa hapa nchini. Ndio maana unaona wameanza biashara ya kuuza mafuta, wameanzisha sheli(vituo vya kuuza mafuta) zao na wanatakiwa kila mwaka kujenga ama kurent/lease sheli 5 kwa mwaka.

Unaona kwa uchache tpdc ina ulaji mwingi sana maana wana mamlaka kama hawawezi jambo basi walipeleke kwenye private sector kwa sharing agreements. Unaona hapo jinsi kuna potential ya mikataba minono ya mafuta, gas na mambo kama hayo.

Mataragio toka ameingia pale amekua kikwazo kwa madalali na wapiga deal ambao wanataka mtu wao awepo pale awapitishie deals, mikataba na mambo kama hayo watajirike haraka. Ndio maana unaona kila siku zengwe juu yake.
MKUU NAKUSHKURU SANA KWA KUNIONGEZEA KITU KWENYE UWELEDI MASUALA HAYA KWA JINSI ULIVYOFAFANUA.. UPO VIZURI KWENYE KUGAWA MAARIFA....
 
Mkwere bado yupo hivyo atafanya kazi bila usumbufu!! Ninaamini kabisa Mkwere kamshitua Rais juu ya kuondolewa kwa Mataragio!!! Nchi hii haipendi wasomi ndio maana fitina nyingi sana.
Uko sahihi. Uko sahihi kabisa mkuu.

Ulichokiongea kina chembe chembe za ukweli kwa kiasi kikubwa sana.

Sitaki kuingia kwenye details ila naomba nikuhakikishie kuna ukweli mwingi kwenye ulichokisema.
 
Huyu Bw. ana maadui wengi sana hasa kwny bodi ya TPDC
Mapapa ya biashara ya Mafuta na Gas yanatamani leo kesho achomolewe pale

Allah aendelee kumlinda na kila shari na kila husda kwa maslahi ya Nchi yetu
Akili za kushikiwa
 
..kama wanataka kumbadilisha watafute Mtanzania mwenye elimu nzuri, na uzoefu wa kutosha, kuongoza Tpdc.

..pia mtu atakayeteuliwa anatakiwa apatikane kupitishia mchakato wa wazi wenye USHINDANI.

..utaratibu wa kumpata DG wa Tpdc uko hivi:

1. Tangazo la kazi kuwekwa ktk vyombo vya habari.

2. Watuma maombi kufanyiwa VETTING.

3. Waombaji waliokuwa vetted kufanyiwa interview na JOPO linalosimamia zoezi la kumpata Mkurugenzi.

4. Jopo kupendekeza majina matatu / 3 FINALISTS ya waombaji waliofanya vizuri ktk interview.

5. RAIS kuteua mmoja kati wa 3 FINALISTS waliopendekezwa.

..Mara nyingi matatizo hutokea ikiwa mchakato nilioueleza hapo haujazingatiwa.

Cc LIMBOMAMBOMA , Ndahani
Utaratibuu ungefanyika pia kwenye vyuo vikuu vya serikali katika kuwapata vice chancellors. principals. deans na directors! Vyuo vingi vya serikali Tanzania hivi sasa ni uwozo mtupu!
 
cv ya mataragio huwa naiweka kwenye mzani mmoja na cv ya aliyewahi kuwa waziri wa nishati prof. sospeter muhongo.
(ref: CV ya Prof. Sospeter Muhongo na ushawishi wake kwa wanasayansi, wahandisi na wanasiasa vijana )

shida ya hawa wasomi wetu utaalam na umahiri wao huwa unachafuliwa na minyukano ya kisiasa na tuhuma za ufisadi.

nakumbuka tuhuma za ufisadi ndani ya wizara ya nishati zilichangia sana kuchafua cv prof. muhongo.

hata huyu mataragio awe makini sana, akiingia kwenye mitego ya wanasiasa, atachafuka tu na cv yake itakuwa haina thamani.
 
Alianza na Kikwete, akaja tenguliwa kipindi fulani. Dkt. Magufuli akamrudisha. Jana akatenguliwa leo Mh. Samia kamrudisha.

Najiuliza huyu Bwana ni nani? Utendaji wake ukoje? Napata mawazo huyu anaweza kuwa ni mmoja ya wasomi wachache ambao wanafanya kazi kitaalamu yaani yeye ni mfuasi wa taaluma yake.

Kwa maana hajiambatanishi na kiongozi yeyote zaidi ya kile anachopaswa kukifanya hivyo kila kiongozi akija inakuwa rahisi kufanya naye kazi.

Mwenye habari zake zaidi atusaidie.
Kwa utata huu wa teua-tengua basi kama anatoka mikoa ya kanda fulani za maji ni ndagu zake zinafanya kazi ila ataishia pabaya kama kawaida.
 
Kwa utata huu wa teua-tengua basi kama anatoka mikoa ya kanda fulani za maji ni ndagu zake zinafanya kazi ila ataishia pabaya kama kawaida.
 

Attachments

  • IMG-20230225-WA0044.jpg
    IMG-20230225-WA0044.jpg
    84.4 KB · Views: 6
Mungu wangu kwanza shukran kwa elimu ....pili aisee huyo farasi aliyetenguliwa angeshika tungepotea maslai ya tanzania kwanza
Kuna. Farasi mwingine Ni accountant kwenye vituo vya mafuta mzanzibar ndugu Mussa Mohamed makame ndo kateuliwa kuwa chief wa tpdc. Wazanzibar wengi wana vielimu vya kuungaunga certificate, advanced certificate, diploma , advanced diploma kama alivyo boss wao. Na wengi siyo wafanyakazi wazuri ( incompetent) Kama alivyo Prof mbalawa na boss wao. Mtu mpobevu namna hii unamutoa unamweka mtu wa advanced certificate in accounting kuendesha tpdc kweli.
 

Attachments

  • Screenshot_20230619-120334.png
    Screenshot_20230619-120334.png
    82.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230619-120140.png
    Screenshot_20230619-120140.png
    11.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20230619-120505.png
    Screenshot_20230619-120505.png
    15.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom