BrazakakaBura
Member
- Feb 16, 2017
- 88
- 104
Heshimu kwenu wakuu
Nataka kuanza biashara ya kuleta samaki dar kutoka moro ifakara niuze kwa bei ya jumla 4000 na rejareja 5000 ni samaki wakubwa waliobanikwa vizuri...
nakaribisha maoni na ushauri..
Mungu awabariki wote wenye nia njema [emoji120]
Nataka kuanza biashara ya kuleta samaki dar kutoka moro ifakara niuze kwa bei ya jumla 4000 na rejareja 5000 ni samaki wakubwa waliobanikwa vizuri...
nakaribisha maoni na ushauri..
Mungu awabariki wote wenye nia njema [emoji120]