Mkyashinho
Senior Member
- Jan 16, 2017
- 148
- 111
Umemtia moyo vzr...lakini hajatuambia masuala mazima ya vibali na leseni....maana kimsingi "malighafi" hii inaweza kuhusianishwa na suala la uvuvi haramu hasa pande za Selous....Kila la kheri katika kuanzisha biashara mpya ya samaki.