The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Anaishi masaki majirani zake ni ofisiUliza majirani
Sukari ukichanganya na chumvi inazalisha sumu na ndimu ambayo ni acid ,unataka kumuua mtoa thread si bureWeka mchele,changanya na sukari vijiko sita chumvi nusu kijiko,mafuta kikombe cha rice cooker kimoja,katia ndimu mbili. Weka maji kiasi yafunike mchele halafu chomeka kwenye soket uiwashe.
So unapota kupika ugali utasemaje?unapika unga?na unapotaka kupiga maandazi unasemaje?unapika unga wa ngano?umekuja mjini lini wewe?Hakuna rice kuka inayopika wali, icpokua inapika mchele
C bure utakua unamatatizo ya akili, mchele unaexption tofaut na hayo uliyoyataja there4 itumike kwa mwanya huo c kujenearilze kila kitu.So unapota kupika ugali utasemaje?unapika unga?na unapotaka kupiga maandazi unasemaje?unapika unga wa ngano?umekuja mjini lini wewe?
Pengine ata rice cooker huijui.
Sawa,sasa anzisha uzi wako wa kuhusu kupika mchele,maana uzi huu unahusu "how to use rice cooker"C bure utakua unamatatizo ya akili, mchele unaexption tofaut na hayo uliyoyataja there4 itumike kwa mwanya huo c kujenearilze kila kitu.
Nini, nyanya kwenye wali? Nieleweshe vizuri aisee. Wali si utajua na uchach wa nyanya?Chukua kitunguu weka kwenye maji changanya na chunvi ya kutosha ...
Pia nyanya ni muhimu sana ili rice cooker iivishe wali vizuri.
Weka wali wako baada ya kuweka nyanya na vitunguu....kisha jaza maji hadi juu ...angalia maji yasifulumie
Naiahi uswahilini kabisa. Masaki hua naenda kufanya kazi tu kama kuna kazi za huko. Sema hua naona aibu kuwaambia majirani kua sijui kupika.Anaishi masaki majirani zake ni ofisi
Nipe shule zaidi mkuu.Usisahau hata makande utaweza kupikia hiyo rice cooker ukiwa geto
Acha usengerema.Weka mchele,changanya na sukari vijiko sita chumvi nusu kijiko,mafuta kikombe cha rice cooker kimoja,katia ndimu mbili. Weka maji kiasi yafunike mchele halafu chomeka kwenye soket uiwashe.