Nataka kuanza kujipikia, je napikaje wali kwenye rice cooker?

Nataka kuanza kujipikia, je napikaje wali kwenye rice cooker?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Habari ya wakati huu wakuu.

Kwa muda mrefu sana sijawahi kupika, sasa nataka nianze kujipikia simple foods napokua nyumbani.

Sasa niliwahi kununua hii kitu inaitwa rice cooker ya kilo 2 muda mrefu sana ila kwa kua hua sipiki hivyo sijawahi kujua naipikiaje.

Ningependa kujua kama nataka kupika nusu kilo naweka maji kiasi gani? Nisije kupika ikawa uji, maana juzi nilipika kwa sufuria kwenye gesi ikawa kituko.

Naomba pia mnifundishe simple foods za kupika nyumbani, nimechoka kula kula migahawani.

Najua kuchemsha supu ya kuku wa kienyeji, kuchemsha chai, kupika ugali, kupika nyama. Natamani kujua zaidi.

Ahsanteni.
 
Chukua kitunguu weka kwenye maji changanya na chunvi ya kutosha ...
Pia nyanya ni muhimu sana ili rice cooker iivishe wali vizuri.
Weka wali wako baada ya kuweka nyanya na vitunguu....kisha jaza maji hadi juu ...angalia maji yasifulumie
 
Weka mchele,changanya na sukari vijiko sita chumvi nusu kijiko,mafuta kikombe cha rice cooker kimoja,katia ndimu mbili. Weka maji kiasi yafunike mchele halafu chomeka kwenye soket uiwashe.
 
Dahh,majibu ya hapa ni kichefuchefu.
Anyway,mkuu osha mchele wako vema,pima maji kutegemeana na kiasi kilichoelekezwa,weka mchele ndani ya rice cooker yako wakati tayari ukiwa umesha weka chumvi na mafuta,kisha weka kwenye umeme.
Kumbuka hapo kwenye rice cooker kuna taa za rangi mbili au tatu kutegemea na aina ya rice cooker,ile tas nyekundu ndio kiashiria kwamba rice cooker yako yako inafanya kazi,kisha itawaka ya kijani/njano na hiyo tafsiri yake ni kwamba kitu kimeiva so ni wewe kucheki tu kama umekauka kiasi upendacho then pakua piga mlo kwa raha zako.
 
So unapota kupika ugali utasemaje?unapika unga?na unapotaka kupiga maandazi unasemaje?unapika unga wa ngano?umekuja mjini lini wewe?
Pengine ata rice cooker huijui.
C bure utakua unamatatizo ya akili, mchele unaexption tofaut na hayo uliyoyataja there4 itumike kwa mwanya huo c kujenearilze kila kitu.
 
Chukua kitunguu weka kwenye maji changanya na chunvi ya kutosha ...
Pia nyanya ni muhimu sana ili rice cooker iivishe wali vizuri.
Weka wali wako baada ya kuweka nyanya na vitunguu....kisha jaza maji hadi juu ...angalia maji yasifulumie
Nini, nyanya kwenye wali? Nieleweshe vizuri aisee. Wali si utajua na uchach wa nyanya?

Sio vibaya ukanielekeza vizuri.
 
Back
Top Bottom