The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Habari ya wakati huu wakuu.
Kwa muda mrefu sana sijawahi kupika, sasa nataka nianze kujipikia simple foods napokua nyumbani.
Sasa niliwahi kununua hii kitu inaitwa rice cooker ya kilo 2 muda mrefu sana ila kwa kua hua sipiki hivyo sijawahi kujua naipikiaje.
Ningependa kujua kama nataka kupika nusu kilo naweka maji kiasi gani? Nisije kupika ikawa uji, maana juzi nilipika kwa sufuria kwenye gesi ikawa kituko.
Naomba pia mnifundishe simple foods za kupika nyumbani, nimechoka kula kula migahawani.
Najua kuchemsha supu ya kuku wa kienyeji, kuchemsha chai, kupika ugali, kupika nyama. Natamani kujua zaidi.
Ahsanteni.
Kwa muda mrefu sana sijawahi kupika, sasa nataka nianze kujipikia simple foods napokua nyumbani.
Sasa niliwahi kununua hii kitu inaitwa rice cooker ya kilo 2 muda mrefu sana ila kwa kua hua sipiki hivyo sijawahi kujua naipikiaje.
Ningependa kujua kama nataka kupika nusu kilo naweka maji kiasi gani? Nisije kupika ikawa uji, maana juzi nilipika kwa sufuria kwenye gesi ikawa kituko.
Naomba pia mnifundishe simple foods za kupika nyumbani, nimechoka kula kula migahawani.
Najua kuchemsha supu ya kuku wa kienyeji, kuchemsha chai, kupika ugali, kupika nyama. Natamani kujua zaidi.
Ahsanteni.