mdizi 2021
Member
- May 4, 2021
- 55
- 52
Habarini wana group, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. mwishoni mwa mwezi huu nina mpango wa kuanza biashara ya NGUO, akiba yangu ni elfu 50.
Sehemu nilioiwaza ya kununua mzigo ni Karume nasikia hapo ukiwahi asubuhi saa 11 au 12 unapata nguo mzuri sana kwa bei ya elfu 5 au chini yake reja reja kwa nguo 1. Wana jamvi naomba mnipe maujanja jinsi ya kupata wateja haraka na changamoto zake hii biashara.
Nataka kutembeza maana sijapata sehemu ya kuweka ndo kwanza naanza. Najua humu wapo watu wazoefu waliobobea kwenye biashara hii. Pia nitashukuru sana mkinipa ramani ya sehemu ya kutembeza zenye wateja wengi hata mikoani nitashukur sana.
Sehemu nilioiwaza ya kununua mzigo ni Karume nasikia hapo ukiwahi asubuhi saa 11 au 12 unapata nguo mzuri sana kwa bei ya elfu 5 au chini yake reja reja kwa nguo 1. Wana jamvi naomba mnipe maujanja jinsi ya kupata wateja haraka na changamoto zake hii biashara.
Nataka kutembeza maana sijapata sehemu ya kuweka ndo kwanza naanza. Najua humu wapo watu wazoefu waliobobea kwenye biashara hii. Pia nitashukuru sana mkinipa ramani ya sehemu ya kutembeza zenye wateja wengi hata mikoani nitashukur sana.