Nataka kuanzisha biashara ya kuprint calendar zenye picha za viongozi

Nataka kuanzisha biashara ya kuprint calendar zenye picha za viongozi

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,669
Naombeni ushauri wenu wanajamvi.

Nataka kuprint calendar za 2017. Kati ya picha nazotaka kutumia ni pamoja na ya Rais Magufuli.

Je, hii italipa? Je ni lazima nimuombe JPM kuwa nitatumia picha yake?

Na ni process zipi nipitie ili kupata ruksa toka kwake.

a895276b4f44c412a8dab0c25ca1d293.jpg

Kutokana na Report ya twaweza kuwa anapendwa kwa 90+% ninaimani biashara yangu inauhakika wa asilimia 90 ya watanzania watakaonunua.
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Vice versa [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hiyo ni deal sio biashara ni ngumu kama ya madawa ya kulevya kupoteza ni asilimia kubwa kuliko kupata...bora ungeweka wanyama au mlima kilimanjaro vile tulivyozoea na vizuri hivi vingine hiyo ni hasara...
ha ha ha mnanipa raha sana
 
Safi sana chapa nyingi uwezavyo, zinauzika sana kuanzia lumumba mpaka dodoma
 
Naombeni ushauri wenu wanajamvu. Nataka kuprint calendar za 2017. Kati ya picha nazotaka kutumia ni pamoja na ya JPM. Jee hii italipa?
45fc6fd87c4ade0d5c2a4a37668b5df4.gif


Kutokana na Report ya twaweza kuwa anapendwa kwa 90+% ninaimani biashara yangu inauhakika wa asilimia 90 ya watanzania watakaonunua.
Mkuu TWAWEZA ni wachumia tumbo wakubwa. Kama unataka kuua mtaji wako, jaribu biashara hiyo uone.
 
Jiandae kuzigawa bure ntachukua hata zote maana nna kazi na hayo makaratasi.
 
Kwa mkopo sawa ila cash hupati bora ukauze tu ugoro kwa sasa unalipa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom