Nataka kuanzisha biashara ya kuprint calendar zenye picha za viongozi

Nataka kuanzisha biashara ya kuprint calendar zenye picha za viongozi

Una wazo zuri ila kosa ni aina ya Picha ambayo umeifikiria. Kauzie Lumumba
Lumumba atanunua nani na kwahela gani maana Lumumba wakati si tunasoma aina za namba wao wameshafika K.K.S. na K.D.S
Panga lawajumbe wa kamati kuu lilivopita wote waliopunguzwa watapenda waweke ya lowasa kwenye nyumba zao
 
Hakuna biashara ngumu kama kutembeza bata Mjini na kutarajia mauzo...
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
kweli kaka
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
Duhuuu ! Nimecheka mpaka basi
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
Is true my friend anzishaa
 
Tehe tehe tehe? mkuu,hiyo kitu ni maumivu ya kichwa! nimeamini wanajf wanakupenda na ndiyo maana wamekuambia ukweli.
 
Nilikuwa namshauri tu mkuu. Biashara hiyo na picha ya Faru John itanichanganya bure.
 
Kagawe bure ktk shule za msingi watachukua ili wageuze nyuma kwa ajili ya kujaradia madaftar... Please usichape pande zote
 
Biashara yako itafana sana mkuu, hasa ukizingatia maendeleo aliyoyaleta ndani ya mwaka mmoja. Nataja maendeleo machache tu:
1. Nyongeza ya mshahara na kupandisha madaraja watumishi wa umma alifanya kwa wakati.
2.Ajira kwa wahitimu amefanikiwa kuliko awamu zote.
3. Ameruhusu maandamano na mikutano kwa vyama vya siasa hadi watu wamechoka wenyewe, hawataki tena.
4. Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu imetolewa kwa KILA aliyekuwa anastahili, tena bila matatizo na kwa wakati mwafaka. Wanaolalamikia hili ni vi.laza tu
5. Mafisadi wameshughulikiwa vya kutosha, hasa wale wa ESROW, LUGUMI, RICHMUND, n.k
6. Amefanikiwa kutoa uhuru wa kujieleza kwenye mitandao ya kijamii, hadi Maxce hafuatiliwi tena.

Mafanikio ni mengi.
Kalenda zako zikiwa na picha hiyo, biashara utaifurahia hadi utatoa machozi ya furaha na huzuni.

Weka na ya Jeee chaaaaa
Duh hakika tuna Raisi Mana kufanya yote haya si mchezo ngoja mi wa Lubumbashi nirudi home sasa
 
Mwanza watanunua coz wao hawaisomi namba
 
Back
Top Bottom