Nataka kuanzisha Stationery, naomba ushauri

Nataka kuanzisha Stationery, naomba ushauri

Jumbe Adarusi

Senior Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
105
Reaction score
78
habar zenu wakuu, naombeni msaada plz, nakusudia kuanzisha mradi wa stationery sehem flan iv. Je unadhan ni mtaji kama wa kiasi gani unaweza kutosha kuanzisha biashara hiyo na angalau kuweza kusimama?
Msaada wakuu... Mawazo yenu yanahitajika
 
habar zenu wakuu, naombeni msaada plz, nakusudia kuanzisha mradi wa stationery sehem flan iv. Je unadhan ni mtaji kama wa kiasi gani unaweza kutosha kuanzisha biashara hiyo na angalau kuweza kusimama?
Msaada wakuu... Mawazo yenu yanahitajika

Mbona hawakuja?
 
vitu vya muhimu kwa kuanza ni photocopier machine, printer muhimu iwe coloured, scanner, pamoja na vikorombwezo kama madaftari kalamu bahasha etc badae ndio utaongeza lamination machine, paper cutter, spiral binding machine etc etc
 
vitu vya muhimu kwa kuanza ni photocopier machine, printer muhimu iwe coloured, scanner, pamoja na vikorombwezo kama madaftari kalamu bahasha etc badae ndio utaongeza lamination machine, paper cutter, spiral binding machine etc etc

shukran kaka
 
Back
Top Bottom