Jumbe Adarusi
Senior Member
- Oct 18, 2012
- 105
- 78
habar zenu wakuu, naombeni msaada plz, nakusudia kuanzisha mradi wa stationery sehem flan iv. Je unadhan ni mtaji kama wa kiasi gani unaweza kutosha kuanzisha biashara hiyo na angalau kuweza kusimama?
Msaada wakuu... Mawazo yenu yanahitajika
Msaada wakuu... Mawazo yenu yanahitajika