Wakuu haiwezekani mtu mwanzo alikuwa na div four ya 30 sasa ana div 1 au div 3 alafu mimi mwanzo nilikuwa na div 4 ya 27 sasa nina 26.sasa wakuu naomba mnipe process za kurudia baadhi ya mitihani yangu iludiwe kusahihishwa coz najiamini na nina uhakika kuwa nimepiga fresh msaada wenu wakuu