Yani ujana wangu atumie Kloro alafu mume aje kuambulia uzee?Aka!Maeksipiriensi ntapata kwake,.usije ukanogewa bure!lakini lizzy , ni vyema ukakubali nikakupa mauzoefu. unajua ndoa ni kitu kizito sana. ni bora upite transit kwangu halaf uelekee kwenye ndoa ukiwa fulu maeksperiensi. hata umri wako unaruhusu transit
Mbona anajulikana tayari mpendwa!
dah! imekula kwangu. nilikuwa nishavaa nguo mpya, acha nikabadilisheYani ujana wangu atumie Kloro alafu mume aje kuambulia uzee?Aka!Maeksipiriensi ntapata kwake,.usije ukanogewa bure!
wewe bado hautafuti? au unasubiri dk slaa akuwe rais?Basi mimi nilichelewa.........................Hongera sana!
lala salama mrembo wetu. naomba unizawadie ndoto moja japo ya dakika 3 katika usingizi wakoJamani wapendwa niwatakie usku mwema na weekend njema.
Mbarikiwe na Bwana.
hii haiitwi kuchakachuliwa, inaitwa sadaka ya uzoefu. yaani mimi si mchoyo kabisa. unapaswa kunipongeza kwa ujasiri huuYani Kloro kweli unataka nikubali kuchakachuliwa?
wewe bado hautafuti? au unasubiri dk slaa akuwe rais?
lala salama mrembo wetu. naomba unizawadie ndoto moja japo ya dakika 3 katika usingizi wako
Lala salama mwaya!
hii haiitwi kuchakachuliwa, inaitwa sadaka ya uzoefu. yaani mimi si mchoyo kabisa. unapaswa kunipongeza kwa ujasiri huu
save that dream and detail me about it tomorrow. granted request appreciated. nite niteRequest granted...!!!
Dah!Sijui nimPM!!Hivi anatongozeka kweli?
karibu miss jukwaa la mahusiano na mapenzi. hapa tunasherehekea lizzy kuwa mchumba rasmi wa klorokwini. mnaombwa michango ya harusi
The Following 2 Users Say Thank You to The Finest For This Useful Post:Siku hizi hadi uwe SHAROBARO kwanza kama hashycool au CPU
LIZZY FINEST je?