Nataka kubadilisha jina la ukoo!

Nataka kubadilisha jina la ukoo!

Embu mPM...nimesikia nyumba ndogo hua inasaidia kuimarisha nyumba kubwa!

Hayo mambo ya kusikia sikia yatakuponza mama, nyumba haijengwei kwa kusikiliza redio mbao!
Kwani nilisema kitamu unachonipa hakinitoshi??
 
Aaah! Miss Lizy,mbona hukunitaarifu huu mpango!! Nadhan hata shangazio hukumweleze eeh! Hujui kuwa process zote hupitia kwa UNCLE na kuratibiwa na Shangazi??
 
Mamaaaaaaaaaaa!
:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry::A S-cry:

Yaani kweli mama watoto unataka kunifanyia hivi??! Hebu niambie kosa langu!!!!
Kukupenda kote kule kumbe malipo yake ndio haya?? :A S 13::A S 13:
Au ulikuwa unanijaribu tu, wakati mapenzi yako yapo kwa mwanajeshi???
NAJUTA MIE KUPENDA, NAJUTAAAAAAAAAAAA

Jamani kuuliza tu?Embu nikufute hayo machozi!
 
Hayo mambo ya kusikia sikia yatakuponza mama, nyumba haijengwei kwa kusikiliza redio mbao!
Kwani nilisema kitamu unachonipa hakinitoshi??

Afadhali nimesema nikasikia kutoka kwako sivyo kuliko ningenyamaza alafu ukute ndivyo!
 
Aaah! Miss Lizy,mbona hukunitaarifu huu mpango!! Nadhan hata shangazio hukumweleze eeh! Hujui kuwa process zote hupitia kwa UNCLE na kuratibiwa na Shangazi??

Niliskia umesafiri kikazi mjomba!
 
Lizzy unaishi Ungalimited ? Duh ipo kazi hii mitaa imejaa vibaka kama sisimizi walah siji kwenye send off yako.
Hahahahaha!Usiogope bwana...ukiwa na mimi hakugusi mtu!
 
All the best mdogo wang, but i thot you have someone already, nahisi nakusomaga wrong. Kuwa makini ili usijefanya mistake ukaja kujutia uamuzi wako. mungu akutangulie
 
All the best mdogo wang, but i thot you have someone already, nahisi nakusomaga wrong. Kuwa makini ili usijefanya mistake ukaja kujutia uamuzi wako. mungu akutangulie

Nimeshamuoa tayari
 
All the best mdogo wang, but i thot you have someone already, nahisi nakusomaga wrong. Kuwa makini ili usijefanya mistake ukaja kujutia uamuzi wako. mungu akutangulie

Mhhhhh sasa hivi ndo nimepata dada yangu!!!:wink2:
Asante ntakua mwangalifu!!
 
Lizzy hulipendi jina la Arafat?!! nashanga sana, ila hapo Unga Ltd niliwai kupokelewa zamani sana miaka ya 1980s wakati magari yanaingia Arusha usiku; ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia Arusha duh sinto sahau
 
Lizzy hulipendi jina la Arafat?!! nashanga sana, ila hapo Unga Ltd niliwai kupokelewa zamani sana miaka ya 1980s wakati magari yanaingia Arusha usiku; ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kuingia Arusha duh sinto sahau

Linapendeza ila ndo nshapata tayari!!!
Hahahahahahah nini kilitokea???????
 
Back
Top Bottom