Lizzy mimi niko tayari kwa moyo mweupe kama sufu safi.... lakini je uko tayari kuwa chini ya huyu bibie niliyenae hapa? Pamoja na wivu alonao mpaka hataki nipige picha peke yangu lakini ameniruhusu kuongeza. Kama uko tayari nijiandae kuja kutambulishwa!!!
Okey les thrash about MEN and MAN coz it can lead to misunderstanding I dont want
But are you Real SERIOUS?
Hahahaha!Sasa dearest we ndo wakuchukua makapi?Wawili wa mwisho kwenye mchujo tunagawana!
CPU bana.....!!!!!!!!1
Vere vere!Unataka kuniunganisha na mtu?
Lizzy, kumbe na wewe uko sokoni??
Lakini hekima yako, na busara zako humu jamvini zitakupatia yule umpendaye..Mungu akupe haja ya moyo wako..I admire you..
all the best
Ila hujaweka umri wako?? itatusaidia.lol
Hataki kuwa mke mwenza
Vere vere!Unataka kuniunganisha na mtu?
Hw are u sweet
Asante sana mpendwa wangu!Ngoja niedit nichomekee umri!
Sana dearest!Mmh hata usishangae akikupenda zaidi yangu!