Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
- Thread starter
- #21
Lizzy mimi niko tayari kwa moyo mweupe kama sufu safi.... lakini je uko tayari kuwa chini ya huyu bibie niliyenae hapa? Pamoja na wivu alonao mpaka hataki nipige picha peke yangu lakini ameniruhusu kuongeza. Kama uko tayari nijiandae kuja kutambulishwa!!!
Ukewenza sitaki!Tutaishia kuekeana chumvi kwenye chai bure!