CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Ni mwanamume aliyechakachuliwa na Yesu! ana busara,hekima, heshima na maarifa!!
Sijisifu, Biblia inanisupport,, Kumchwa Bwana ni chanzo cha hekima na maarifa!
Haya bana, sijui Lizzy atatumia staili gani kuchuja wagombea