Nataka kubadilisha jina la ukoo!

Nataka kubadilisha jina la ukoo!

napenda kutuma salam kwa lizzy hapo kwa mfuga mbwa na michelle akiwa uwanja wa fisi bila kumsahau maria roza huko mwari hakogi, naomba studio iwazawadie wapendwa hawa wimbo wa ngapulila source ya zilipendwa.

bek to ze topik: still no komenti

duh,umenionaje Kloro....how Kloro how???? karibu uwanja wa fisi Kloro....tule chakula ya roho!!!!!!
 
napenda kutuma salam kwa lizzy hapo kwa mfuga mbwa na michelle akiwa uwanja wa fisi bila kumsahau maria roza huko mwari hakogi, naomba studio iwazawadie wapendwa hawa wimbo wa ngapulila source ya zilipendwa.

bek to ze topik: still no komenti

dah mkuu salamu zikufikie maabara uliko na mwanafunzi wako ambaye ni binti yangu, ujumbe, "ladha ya mboga anaijua mlaji"
 
aaw ...so romantic....kwa mujibu wa Miss Judith, utakuwa umentongoza? :wink2🙁hvi yule mtu wangu umenionea mpz)

Kaizer,nimekuwa nakutega unitongoze naona mwenzangu hunioni.....please nitongoze,nijione wa thamani na mimi....please please....l.o.l
 
napenda kutuma salam kwa lizzy hapo kwa mfuga mbwa na michelle akiwa uwanja wa fisi bila kumsahau maria roza huko mwari hakogi, naomba studio iwazawadie wapendwa hawa wimbo wa ngapulila source ya zilipendwa.

bek to ze topik: still no komenti

Kwanini no komenti Kloro?
 
napenda kutuma salam kwa lizzy hapo kwa mfuga mbwa na michelle akiwa uwanja wa fisi bila kumsahau maria roza huko mwari hakogi, naomba studio iwazawadie wapendwa hawa wimbo wa ngapulila source ya zilipendwa.

bek to ze topik: still no komenti

mwalimu nataka umuoe lizzy ndio nitazidi kufaulu masomo.
 
........When a man truly loves his woman the only thing he would ever want to change about her is HER LAST NAME...from her own to his!....... Jamani mi nataka mtu wakunipa jina lake!Kigezo ni kimoja tu...AWE NA MAPENZI YA KWELI ambayo ndio yatamsukuma kuniheshimu...kunijali na kufanya kazi kwa bidii ili tuweze kujikimu! Kwa hisani ya MPENDWA umri wangu ni miaka 23!

Mimi kwenye hili naomba kukaa pembeni Lizzy nimehangaika nae for 90 days hanitaki,namtakia kila la heri kwa mwenye bahati ya kumpata huyu 'Lulu'.
 
Bora umegundua komredi
The Following User Says Thank You to Kaizer For This Useful Post:

CPU (Today)​


naona na mkuu kolorokwini keshaingia basi plasimodiamu wote watakimbia, utabiri wa hali ya hewa unaonyesha kuwa usiku huu hapa hapalaliki
 
nimeongezewa mshahara, wazembe watakoma kitaani.

bek to ze topik: no komenti

husninyo njoo lab haraka kabla sijalog out

ukiwa na mshahara ule tulikoma....sasa wamekuongezea mimi naona niondoke tu :wink2::hand::hand::hand:
 
yaani natapika goldi kifuani halaf nadondoka na pensi la maiko jodan, hakyanani nitakula mpaka mawaifu wa mawaziri mwaka huu. yaani niko fulu wallet.

Aiseeee......yanini malumbano,ya nini maneno.....

najiweka pembeni naepusha msongamano.....bora nitulie.....l.o.l

kazi tunayo,tuliofulia na tusio na mvuto......albamu vupi Kloro.....am waiting oh????
 
Back
Top Bottom