Dadaangu wewe sio wakuni jibu hivyo, majibu hayo waachi mapaliasso wasie jua upi wakati wa brincadera naupi wakati wa serio. kwa doctor nimeenda kaniuliza ila nikamficha kua nilisha kula Melafine nayeye akanipa hayoUlimuambia dr wako kuwa ulishajitibu?
Umeandika urithi? Hebu nenda hospitali bwna, madaktari wataishije sasa jamani? Kha
Mkuu nashukuru kwa tiba yako ila kwakua ni usiku wacha nilale ila kesho nita ifanya hiyo tiba. Ila mkuu unani shauri vipi kuhusu kunywa hii Dawamseto? maana mpaka sasa bado sijaanza kuitumia ila kuna mtu kaniambia ninywe maziwa ili kuuwa nguvu ya melafine alafu ifikapo kesho nianze kunywa Dawa mseto. Chengine vipi hii tiba uliyo nipa ninaweza kunywa huku nikiendelea na vidonge? au nisimamishe kunywa vidonge? ila zaidi ya yote kweli kabisa mimi ni mgonjwa ila nikimeza panado kidogo napata nafuu ila ikiisha nguvu nakua kwenye mateso.Mkuu.@Kitoabu Pole sana kama kweli unayo Homa jaribu dawa yangu hii huenda ikakusaidia Upate Malimau 2 na kitunguu Saumu punje 3 Kitunguu saumu unakiponda kisha unakamuwa hayo malimau kama juisi unachanganya pamoja Kitunguu saumu na hayo Malimau, unakula kwa muda wa siku 3 Asubuhi, mchana na usiku fanya hivyo hivyo. Kisha njoo unipe feedback. usikose kwenda kumuona Daktari.
Andika wosia kabisa na uonyeshi document za benki kwa ajili ya gharama za mazishi..usije ukasumbua watu HALI NGUMU SANA....R.I.P..
Mkuu Kitoabu Siwezi kukupa Ushauri uchanganye dawa nenda hospitali kamuone Daktari akupime atajuwa dawa gani itakayo kufaa Tafadhali usije ukachanganya dawa, dawa zangu unaweza kutumia na dawa za kizungu hakuna wasiwasi.Mkuu nashukuru kwa tiba yako ila kwakua ni usiku wacha nilale ila kesho nita ifanya hiyo tiba. Ila mkuu unani shauri vipi kuhusu kunywa hii Dawamseto? maana mpaka sasa bado sijaanza kuitumia ila kuna mtu kaniambia ninywe maziwa ili kuuwa nguvu ya melafine alafu ifikapo kesho nianze kunywa Dawa mseto. Chengine vipi hii tiba uliyo nipa ninaweza kunywa huku nikiendelea na vidonge? au nisimamishe kunywa vidonge? ila zaidi ya yote kweli kabisa mimi ni mgonjwa ila nikimeza panado kidogo napata nafuu ila ikiisha nguvu nakua kwenye mateso.
Ndugu zangu nina siku ya nne niko kitandani naumwa. (sijui malaria) siku ya kwanza kujihisi homa nili nunua Melafine nikameza pamoja na panado nakumbuka ilikua j/mosi usiku chaajabu homa haikukata j/pili. niliendelea kumezakumeza panado ila hali ni hile hile. Jana usiku siku lala kabisa kwanjisi hali ilivyo kua mbaya. leo nimee nda Hospital nimepewa Dawa mseto kabla ya kumeza kuna mtu kani shauri nisimeze kwa kua nilikwisha meza Mela fine. nampaka sasa kweli sija meza zaidi ya panado tu. naombeni munisaidie madokta wangu nimeze au nisimeze? nisipo eleweka muni samehe maana hali yangu sinzuri
Dawa ya Malaria sugu jaribu hivi :
Chukua vitunguu swaumu vilivyo menywa kipimo cha kiganja kimoja cha mkono wako, twanga vilainike, halafu kamulia limao moja au mawili. Acha vikae angalao kwa masaa 2 halafu weka maji ya kunywa ya uvuguvugu ndo mazuri. Chuja na unywe.
Fanya hivyo mara 2 kwa siku, halafu angalau Tumia siku 3 au zaidi kwa uhakika zaidi.
Huo mpango pia inatibu pia typhoid sugu.
Pia kunywa maji mengi ya uvuguvugu ili kuondoa sumu Mwilini.
Dawa za asili kama Vitunguu Saumu na Malimao hazina Madhara kwa binadamu No Side Effects. Of course hivi ni vyakula
Mkuu nashukuru kwa tiba yako ila kwakua ni usiku wacha nilale ila kesho nita ifanya hiyo tiba. Ila mkuu unani shauri vipi kuhusu kunywa hii Dawamseto? maana mpaka sasa bado sijaanza kuitumia ila kuna mtu kaniambia ninywe maziwa ili kuuwa nguvu ya melafine alafu ifikapo kesho nianze kunywa Dawa mseto. Chengine vipi hii tiba uliyo nipa ninaweza kunywa huku nikiendelea na vidonge? au nisimamishe kunywa vidonge? ila zaidi ya yote kweli kabisa mimi ni mgonjwa ila nikimeza panado kidogo napata nafuu ila ikiisha nguvu nakua kwenye mateso.
Dawa ya Malaria sugu jaribu hivi :
Chukua vitunguu swaumu vilivyo menywa kipimo cha kiganja kimoja cha mkono wako, twanga vilainike, halafu kamulia limao moja au mawili. Acha vikae angalao kwa masaa 2 halafu weka maji ya kunywa ya uvuguvugu ndo mazuri. Chuja na unywe.
Fanya hivyo mara 2 kwa siku, halafu angalau Tumia siku 3 au zaidi kwa uhakika zaidi.
Huo mpango pia inatibu pia typhoid sugu.
Pia kunywa maji mengi ya uvuguvugu ili kuondoa sumu Mwilini.
Dawa za asili kama Vitunguu Saumu na Malimao hazina Madhara kwa binadamu No Side Effects. Of course hivi ni vyakula
Pole sana mkuu.Usichanganye hayo makemikali, jaribu hizo za kiasili kama ulivyoshauriwa na mzee mzizimkavuNdugu zangu nina siku ya nne niko kitandani naumwa. (sijui malaria) siku ya kwanza kujihisi homa nili nunua Melafine nikameza pamoja na panado nakumbuka ilikua j/mosi usiku chaajabu homa haikukata j/pili. niliendelea kumezakumeza panado ila hali ni hile hile. Jana usiku siku lala kabisa kwanjisi hali ilivyo kua mbaya. leo nimee nda Hospital nimepewa Dawa mseto kabla ya kumeza kuna mtu kani shauri nisimeze kwa kua nilikwisha meza Mela fine. nampaka sasa kweli sija meza zaidi ya panado tu. naombeni munisaidie madokta wangu nimeze au nisimeze? nisipo eleweka muni samehe maana hali yangu sinzuri
Mkuu Bujibuji Huku kila kitu kipo Ndizi zinatoka Brazil Maembe na Mananasi yanatoka Afrika Magharibi na Nazi zinatoka Bara la Asia vilivyo bakia vyote huku vipo na vinalimwa na vinapatikana. Hakuna hivyo nilivyo vitaja tu .MziziMkavu ulaya vitunguu saumu na limau mnapataga wapi? Mwezi usha andama usijisahau sana
Mkuu kinyoba Nitakuja kuuwa kivipi? kwani nani kakwambia Vitunguu Saumu na Limau Vinauwa?Utakuja kuuwa watu we mzizimkavu!