Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Teh unakuwa tu conquered na unasurrender
 
kwahio unataka uchume dhambi na kuwagawia wengine ? "Accessory before the fact"
 
Wewe evelyn salt ushaanza kunitia majaribuni...

Hizo kauli zako natamani kuchepuka....
 
Vinajazana ujinga hapa eti kuacha mke ha ha ha
 

Chepeka tu dear , ila tafuta mtu wa mbali achana na huyo wa mtaani kwako ..... wa mtaani lazima tu mtafumaniwa na ni aibu kubwa pia hata mwenzio ataona fedheha kuwa makini saana tafuta mtu wa mbali.
 

Kumbe Amu bado hujaolewa,Ila umetoa ushauri kama Mtu aliye katika ndoa
 
Teh unakuwa tu conquered na unasurrender
Ha haaa wenye roho nyepesi husamehe,wenye ngumu huua wenye akili hupiga chini mke.
Lakin tukirudi kwenye basic nadhan kuna haja ndoa zetu ziwe za mkataba ili tuwe tuna update kila baada ya muda flani.
Siku zote ligi kwenye ndoa lazma kuna upande uumie tu.
 
jiandae na KY maana labda hiyo huduma ya tgo ndo huipati kutoka kwa mumeo.. uzoefu unsonyesha wanawake wengi wanaochepuka huwa wanatafuta kupigwa tigo baaasi
 
Vinajazana ujinga hapa eti kuacha mke ha ha ha
Ni bora kumuacha,,, maana yajayo hufurahisha ...
Shukuru mungu ukiachwa kwani hao wanaotenganishwa vichwa siyo wake za watu???jipeni moyo mtashinda
 
Sure, ndoa ziwe za mkataba
 
nenda mbali na maziingira ya nyumbani na hakikisha usimpende mtambue kama mme wa mtu, maana utaanza ku mdharau mmeo bure
 
Japo hujafwata kanuni za uandishi hasa kuweka AYA, ila nimesoma kwa shida mpaka nimemailiza!! ujumbe na ushauri wako ni mzuri!!

Ili kurahisishia wengine edit ujumbe wako, weka aya na uupange vizuri ili usomeke kwa urahisi!!
 
Ukichepuka tuu siku hiyo hiyo unadakwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…