Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Njoo, usisahau spana@Evelyn Salt njoo nkukaze
Usiwaze. Kila kitu kipoNjoo, usisahau spana
teh.. kwa hiyo wazuri ndiyo wanatakiwa wasifiwe tu?Hahahahaaa... kama sio beauty kaka wa watu aappreciate nini sasa
Ukifumaniwa wewe utaachika ila huyo jamaa hatanuacha mkewe kwa ajili yako.Habari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
we htmb?
Tulia na MUMEO
ha ha ha ukitaka kujua wanaume na Wanawake wa Jf wameokoka we sema unachepuka utamshuhudia malaika akishuka pande hiiWanaume wa JF wote watakatifu, sikutegemea kama ningewatoa watu povu lote hili.
Hahaaaa...nimecheka maaana wanaelewanaTamaa zako kweli unamsingizia shetani??
Kuna mambo mawili au matatu kuhusu hyo kijana wa mtaani kwenu,
Moja anamzidi mumeo kipato
Au anamzid kimuonekano
Ss ukaona isiwe tabu wacha ujiingize,haya nenda kwa kijana wa mtaani maana mmeelewana
ha ha ha ukitaka kujua wanaume na Wanawake wa Jf wameokoka we sema unachepuka utamshuhudia malaika akishuka pande hii
CC Heaven Sent
Sikujua kama wanaume wanaijua "laana" ya kuchepuka kama nilivyosoma humu. Ila kumbe laana itampata huyu mke tu, huyo mume wa mtu anayechepuka naye + all waume za watu ambao ni michepuko wenyewe laana hawatoipata. Wao wakichepuka wanaleta baraka kwenye familia zao teh teh teh [emoji134] [emoji134] [emoji134]Wanaume wa JF wote watakatifu, sikutegemea kama ningewatoa watu povu lote hili.
ha ha ha ukitaka kujua wanaume na Wanawake wa Jf wameokoka we sema unachepuka utamshuhudia malaika akishuka pande hii
CC Heaven Sent
Weeee nae unahangaika na mtu ameshaomba mpaka talaka!Natomba lakini siwezi mshauri mtu akatombe... Wewe mwache ajishauri mwenyewe yatakayomkuta yawe juu yake... Akiuawa utakuja hapa kusema siyo huyu alituomba ushauri hapa jf... Acheni undezi msiojielewa... By the way msijionyeshe kuwa nyie ni wanawake ambao mmekubuhu. Ni bora mkamshauri positive way halafu yeye mwenyewe aende akatombwe kwa maamuzi yake mwenyewe
Siyo rahisi namna hiyo.Ukapigwa chini
Sikujua kama wanaume wanaijua "laana" ya kuchepuka kama nilivyosoma humu. Ila kumbe laana itampata huyu mke tu, huyo mume wa mtu anayechepuka naye + all waume za watu ambao ni michepuko wenyewe laana hawatoipata. Wao wakichepuka wanaleta baraka kwenye familia zao teh teh teh [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Habari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo.
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
Cha ajabu nini hapo Nyani, kwani wanaume hawachepuki
Ukimsoma vizuri mleta mada aliponijibu ni kuwa yeye amekosa upendo kwa mumewesasa kwani watu wakichepuka wanafuata upendo au wanafuta kugegedana.