Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Hahahahaaa... kama sio beauty kaka wa watu aappreciate nini sasa
teh.. kwa hiyo wazuri ndiyo wanatakiwa wasifiwe tu?

hapana bhana.. hadi anamwoa aliona cha pekee kwake anatakiwa awe anamsifia sifia hata kidogo... hata mapishi basi kama kasura hakalipi
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Ukifumaniwa wewe utaachika ila huyo jamaa hatanuacha mkewe kwa ajili yako.
Ni hayo tu. You will be alone na kuwa chakula ya viben 10
 
Ngoja nizeeke zeeke kwanza ndio nitaoa maana kwa huu ujana naweza nikajikuta nimeua mtu naozea segerea
 
Andaa mazingira mazuri ya kujifanya unasafr na yy hivyo hivyo mkutane huko mfanye yenuu mpaka basi au Kama unafanya Kazi na Jumamosi huend kazini mwambie mumeo baba kesho nitakwenda kazini kumalizia kiporo changu flan hv basi unajiondokea zako mnakutana huko mnadinyana wenyewe mpaka basi ukirudi nyumbani Mwepesi.
 
Tamaa zako kweli unamsingizia shetani??
Kuna mambo mawili au matatu kuhusu hyo kijana wa mtaani kwenu,
Moja anamzidi mumeo kipato
Au anamzid kimuonekano
Ss ukaona isiwe tabu wacha ujiingize,haya nenda kwa kijana wa mtaani maana mmeelewana
Hahaaaa...nimecheka maaana wanaelewana
 
Wanaume wa JF wote watakatifu, sikutegemea kama ningewatoa watu povu lote hili.
Sikujua kama wanaume wanaijua "laana" ya kuchepuka kama nilivyosoma humu. Ila kumbe laana itampata huyu mke tu, huyo mume wa mtu anayechepuka naye + all waume za watu ambao ni michepuko wenyewe laana hawatoipata. Wao wakichepuka wanaleta baraka kwenye familia zao teh teh teh [emoji134] [emoji134] [emoji134]
ha ha ha ukitaka kujua wanaume na Wanawake wa Jf wameokoka we sema unachepuka utamshuhudia malaika akishuka pande hii
CC Heaven Sent
 
Natomba lakini siwezi mshauri mtu akatombe... Wewe mwache ajishauri mwenyewe yatakayomkuta yawe juu yake... Akiuawa utakuja hapa kusema siyo huyu alituomba ushauri hapa jf... Acheni undezi msiojielewa... By the way msijionyeshe kuwa nyie ni wanawake ambao mmekubuhu. Ni bora mkamshauri positive way halafu yeye mwenyewe aende akatombwe kwa maamuzi yake mwenyewe
Weeee nae unahangaika na mtu ameshaomba mpaka talaka!
Muache aende anatafuta justification ya kuachana
 
Sikujua kama wanaume wanaijua "laana" ya kuchepuka kama nilivyosoma humu. Ila kumbe laana itampata huyu mke tu, huyo mume wa mtu anayechepuka naye + all waume za watu ambao ni michepuko wenyewe laana hawatoipata. Wao wakichepuka wanaleta baraka kwenye familia zao teh teh teh [emoji134] [emoji134] [emoji134]

Yani sijategemea, wanadhani wanavyoshauriana kuwala housegirls na kuwa na michepuko humu sisi wanawake hatuna nyoyo wala hatuumii
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri

wee chepuka tuu wala hamna shida cha msingi uhakikishe jamaa kweli anaweza kugegeda sio wachepuka alafu jamaa ngoma ikamshinda
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo.
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi

sasa kwani watu wakichepuka wanafuata upendo au wanafuta kugegedana.
 
Back
Top Bottom