- Thread starter
- #501
usichepuke shogangu si unaona nimepokea hela ya juice hapo juu.
Sichepuki shost, nawashukuru kwa maushauri yenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usichepuke shogangu si unaona nimepokea hela ya juice hapo juu.
Hujatupa mrejesho wa huyo mume wa mtu umfikia nae wapi umechukua njia xipi kusitisha mawasilianoSichepuki shost, nawashukuru kwa maushauri yenu.
oh ohIla wanaume wa jf kiboko, hapa mmenisema halafu mnakimbilia pm kuomba nichepuke na nyie.
cc Evelyn Salt Heaven Sent amu
Sichepuki shost, nawashukuru kwa maushauri yenu.
Hahahahaha umenichekeshaaaHakuna cha ajabu!
Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...
Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.
Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
Ilitokea tu nikamkubali mtu mtaani
Nikajifanya nunda nikamtafuta
Tukaelewana, Ile siku tunaenda kufanya yetu natoka mlangoni Mr huyu hapa
Usiulize kilifata nini!
Madem huwa wanajisahau hapa tu. Inafika kipindi mababa yanakata. Hakuiti yale majina mazuri, hakutext mpaka uanze. Ikifika hapa basi ujue mahusiano yanaelekea kubayaHata ukiwa na kipozeo, kumbuka wakati mumeo anakutongoza ulimuangaisha sana hadi Mara ya kwanza mlipoamua kuvuana vyupi, na alipotaka kuoa aliwaza sana amuoe nani wewe ukabahatika kuwa chaguo. Ni zamu yako kumjali kwa sana hadi akushangae na awasahau wa huko nje, we unakaa siku nzima hata SMS ya mahaba hutumi husemi hata unavyojisia kama unanyege unamwambia mapema ili na yeye ajiandae aondoe stress za kazi mapema siyo unakaa kimya ongea ikibidi toa chozi
Nope hizi tabia anakuwa nazo mtu binafsi. Si wanaume tu hata wanawake.Kuolewa au kuhangaishana kuko kwenye mapenzi sasa wengi wanaume mkijaliwa ndo huwanyanyasa wanawake vibaya, ujue nyie ndo hufanya wanawake waanze uovu, mfano mama analea humsaidii unataka akupe attention kabla ya kuwa na mtoto. Mapenzi ni ya wawili jamani bila hivo michepuko haiepukiki
Sasa kuliko uumizwe na tabia za mtu mzima anayeamua kufanya jambo mwenyewe huko sikujipa stress tu, mi namwacha awe huru na Mimi nijipe raha mwenyewe, maana ni ngumu kumshape MTU mzimaNope hizi tabia anakuwa nazo mtu binafsi. Si wanaume tu hata wanawake.
Nao mkifanikiwa hali huanza kubadilika, tunafahamu tumeona.
Wanawake huanza uov wenyewe , wanaume si mara zote ni sababu. Tabia mbovu huwa mtu ana kuwa nazo ila zimejificha maana hajapata sehem inayompa uhuru.
[emoji1] [emoji2] [emoji2]Utakufa
Wachepukaji wamefundishwa tangu wakiwa matumboni mwa mama zao
Nadhani niyeye ila nafsi😛Mimi ni mume wa mtu pia na kuna mdada mke wa mtu pia hapa mtaani tumeelewana balaa!
Au ndio wewe nin?
Haha kumbe wengine wanakuwakia jukwaani ili wapunguze foleni ya pm?Ila wanaume wa jf kiboko, hapa mmenisema halafu mnakimbilia pm kuomba nichepuke na nyie.
cc Evelyn Salt Heaven Sent amu
Pepo la ngono hiloHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Napendekeza atupe list iliyopo pm tumsaidie kuchagua mchepuko mstaarabuHaha kumbe wengine wanakuwakia jukwaani ili wapunguze foleni ya pm?
Mwenyekiti Evelyn Salt umeona mambo ya waumini wako?