Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Mungu a nakuona, na HIV sema nayo usije kupeleka nyumbani
 
Angalia tu usipewe virusi huko, kuwa makini usije ukakamatwa na mmeo,tukasikia tu kwenye vyombo vya habari Mammy k ameuawa na mumewe
 
Kumbe wanawake wakuoa bado mpo?
 
Chepuka lakini make sure hahuna kugandana ile kugegedana alafu Kila mtu anashika hamsini zake utachepuka miaka mianane bila kustukiwa pia hakikisha mumeo Nakuru free na simu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…