Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Post nyingine zinatia hasira sana na sitaowa milele
Kwa kweli, hii comment umeonyesha ukomavu wa kiwango cha juu sana aisee, big up, kama mtoa mada alimaanisha kweli, basi umempa ushauri wa maana sana.aaaaa wanakuambia if you are in Rome act like Romans ndivo nilivo huwa naenda na flow kuna post zingine huwa hazihitaji hata maandishi mengi na kutuliza kichwa ila kuna zingine unaandika umetulia
Mito mi sitaki kuwa mnafiki hata robo, hali aliyofikia binafsi naielewa I guess akimuona jamaa pichu inaloa nakuambia hivi hata upige na maombi huyu ataliwa tu.Duuh huu nao ni ushauri, wee Eve wewe[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ikiwa hutooa milelePost nyingine zinatia hasira sana na sitaowa milele
Mkuu kama mambo yenyewe ndo haya si bora tuu nizaee watoto nituliee kuliko kuoa aiseeIkiwa hutooa milele
matamanio yako,wapi yanaishia?!
kwenye
a)wanawake wa mtaani
b)chaputo
Oa ndg
ila kabla ya kuoa,jiangalie kwanza kisha jitathmini mara kwa mara
Kwasababu
utapata mke mfano wako
jaribu maneno yangu Bro
Utapata mke mfano wako
Mwema hupata mwema
na
Muovu hupata muovu mwenzake
ChiefMkuu kama mambo yenyewe ndo haya si bora tuu nizaee watoto nituliee kuliko kuoa aisee
KumbeeDon't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Nakuelewa sana ujueMito mi sitaki kuwa mnafiki hata robo, hali aliyofikia binafsi naielewa I guess akimuona jamaa pichu inaloa nakuambia hivi hata upige na maombi huyu ataliwa tu.
otherwise nijifanye tu okay mamy k don't do that ni dhambi ha ha ha ha ha nacheka kama mazuri
WooooiiiiiiiNimeolewa na wanaume wawili
Ikifika wakati wako unaoa tu mzee babaMi ndio mana sitakuja oa asee!
Teh mwenyekiti; nakuona nakuonaNimecheka hapo ulipowaita wababa pia waje kukushauri yani umemwaga chumvi juu ya moto ha ha ha ha hiyo kiboko.
fata moyo wako hapa utakutana na wasafi classic wakupe mahubiri, lakini pia ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye.....amua we mwenyewe
Hapo ulipofikia hakuna cha kukuzuia kuchepuka hakuna!!!!!kafanywe tu ila heshima ibaki pale pale
mi kama mimi nimekazia tu kwenye huo uamuzi wake
Ushauri mzuri Sana. Na mwenye masikio na asikie.Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
Hahaaaaa eti hata upige maombi loh, haya bwana nimekuelewa, wacha tu akagongwe aweke ndoa yake rehani, tutampa pole akiachika, teh!Mito mi sitaki kuwa mnafiki hata robo, hali aliyofikia binafsi naielewa I guess akimuona jamaa pichu inaloa nakuambia hivi hata upige na maombi huyu ataliwa tu.
otherwise nijifanye tu okay mamy k don't do that ni dhambi ha ha ha ha ha nacheka kama mazuri
Naam!!Wewe unawakilisha wanaume watakatifu hawachepuki
Kugongewa demu wako tuu inauma kinoma sembuse mkee??Chief
hujakimbia tatizo,Bali umeongeza tatizo