Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Mwanaume akiwa anataka hapo chini kati lazima aoneshe kujali ili apapate, subiri baada ya hapo kama hautajuta, ila we kampe tu kwani itabadilika
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Acha uzinzi. Imeandikwa usizini! Fikiria siku unafumaniwa na mumeo!!
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali uimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
am in love with your brain ,cha ajabu hatokuelewa
 
Hapa ndo napata pich halisi ya nn Huwa kinajadiliwa salun za kike Na wanashauriana nn.yan wanawake wote wanashaur uchepuke????? Ss omba talaka mwambie uyo jamaa akuoe kabisa
 
SAA nyingine kuchepuka ni tiba ukishachepuka tu, utampuuza huyo mumeo hata akuudhi vipi unakuwa na Amani. Follow ur intuition my mom wanaume ni kero mno jipe raha
Ukiona mwanaume ni kero ujue na wewe unamapungufu yako, wengine mkifika kitandani unageukia ukutani, staili zilezile siku ukitaka, unalala umenuna unaamka humsalimii mwenza wako, nguo anapiga pasi mwenyewe. Hapo unategemea utapewa dozi kama zamani muwe mnajiuliza mbona kabla ya kuolewa huwa mnajiachia kwa staili kibao tena wewe ndo unamwambia jamaa akugegedeje,
 
Ukiona mwanaume ni kero ujue na wewe unamapungufu yako, wengine mkifika kitandani unageukia ukutani, staili zilezile siku ukitaka, unalala umenuna unaamka humsalimii mwenza wako, nguo anapiga pasi mwenyewe. Hapo unategemea utapewa dozi kama zamani muwe mnajiuliza mbona kabla ya kuolewa huwa mnajiachia kwa staili kibao tena wewe ndo unamwambia jamaa akugegedeje,
Huo mda wakuchoshana na MTU asiyekupa attention nautoa wapi mkuu nyie hata mfanyiwe vipi huwa hamridhiki ndo kwanza kutafta visingizio kuwa eti tumebweteka, dawa ni kutafta kipoozeo chakubbeleza huko nje
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Kataa hiyo kitu. Ukichepuka unamkaribisha shetani kwenye ndoa yako.. unampa funguo za kubaribu ndoa yako. Ndoa ikuvunjika au kuparanganyika usimtafite mchawi.
 
Huo mda wakuchoshana na MTU asiyekupa attention nautoa wapi mkuu nyie hata mfanyiwe vipi huwa hamridhiki ndo kwanza kutafta visingizio kuwa eti tumebweteka, dawa ni kutafta kipoozeo chakubbeleza huko nje
Hata ukiwa na kipozeo, kumbuka wakati mumeo anakutongoza ulimuangaisha sana hadi Mara ya kwanza mlipoamua kuvuana vyupi, na alipotaka kuoa aliwaza sana amuoe nani wewe ukabahatika kuwa chaguo. Ni zamu yako kumjali kwa sana hadi akushangae na awasahau wa huko nje, we unakaa siku nzima hata SMS ya mahaba hutumi husemi hata unavyojisia kama unanyege unamwambia mapema ili na yeye ajiandae aondoe stress za kazi mapema siyo unakaa kimya ongea ikibidi toa chozi
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali uimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
Uko vizuri kumbe amu:
 
Hakuna cha ajabu utakachokutana nacho Zaidi ya kujishushia heshima kwa uliyetembea nae na kwa mumeo akijua.


Kutembea nje ya ndoa kwa mwanamke naamini ni kumdhalilisha mumeo. Yule ulitembea nae hatamuheshimu mumeo hata mara moja.

Na utamfanya mumeo ajione si lolote mbele ya jamii. Tujaribu kuwapa heshima zao wanaotupa heshima ya kuwa wake zao.
Duuh wadada mkiamua kumbe mna maushauri ya maana hivi, Mwenyezi Mungu awajalie muolewe wote na kisha mdumu ktk ndoa zenu
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Hata ukiwa na kipozeo, kumbuka wakati mumeo anakutongoza ulimuangaisha sana hadi Mara ya kwanza mlipoamua kuvuana vyupi, na alipotaka kuoa aliwaza sana amuoe nani wewe ukabahatika kuwa chaguo. Ni zamu yako kumjali kwa sana hadi akushangae na awasahau wa huko nje, we unakaa siku nzima hata SMS ya mahaba hutumi husemi hata unavyojisia kama unanyege unamwambia mapema ili na yeye ajiandae aondoe stress za kazi mapema siyo unakaa kimya ongea ikibidi toa chozi
Kuolewa au kuhangaishana kuko kwenye mapenzi sasa wengi wanaume mkijaliwa ndo huwanyanyasa wanawake vibaya, ujue nyie ndo hufanya wanawake waanze uovu, mfano mama analea humsaidii unataka akupe attention kabla ya kuwa na mtoto. Mapenzi ni ya wawili jamani bila hivo michepuko haiepukiki
 
Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Wee sema umechoka ndoa, siku zako za kuwa ndoani zinahesabika, soon utakuwa single mum
 
Uko vizuri kumbe amu:
aaaaa wanakuambia if you are in Rome act like Romans ndivo nilivo huwa naenda na flow kuna post zingine huwa hazihitaji hata maandishi mengi na kutuliza kichwa ila kuna zingine unaandika umetulia
 
Back
Top Bottom