Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Hakuna cha ajabu!

Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...

Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.

Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
mke wa mtu sumu shauri ako.. unataka tumuone jujujr wazi wazi na alivyo mweusi kama mpingo
 
WE NAE!!
chepuka na yako bana!!
SO TUKIKWAMBIA USICHEPUKE NDO UTAACHA?
hebu tupunguziage dhambi!
MI LEO NSHAMTUKANA Mtatiro kimoyomoyo mpk nahs matusi yameisha!!
NIPUMZISHE KIDOGO!!

Tukana hata kidogo
 
Katafunwe tu maana hamna namna sasa! Papuche ni yako na maamuzi ni yako
 
WE NAE!!
chepuka na yako bana!!
SO TUKIKWAMBIA USICHEPUKE NDO UTAACHA?
hebu tupunguziage dhambi!
MI LEO NSHAMTUKANA Mtatiro kimoyomoyo mpk nahs matusi yameisha!!
NIPUMZISHE KIDOGO!!
Na nilichogundua alileta uzi wake ili tumpe baraka za kuchepuka tu na si vinginevyo.

Hata mume wake kuwa wanawake wanavutiwa nae.

Thamani ya mtu huonekana asipokuwepo
 
Ni kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.
Kwa hali hii Mama chepuka tu...chepukaaaa hakuna namna
 
Vua chupi, funga kanga nenda kwa uyo jamaa akapige bao zake mbili.
Yeye atarudi kwa mke wake, atakuta kaandaliwa chakula cha usiku na maji ya kuoga.
Wakati huo wewe utarudi nyumbani ukiwa na aibu, utashindwa kumuandalia mmeo chakula na utashindwa kumpa haki yake ya ndoa kwasababu atajua umetoka kulalwa.
 
Tamaa mbele mauti nyuma.tamaa mbele ukimwi nyuma.waonee huruma wanao.
 
Back
Top Bottom