Trouton
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 1,203
- 1,381
ukishakula nyama ya mtu kuacha huwezi.Fanya mara moja chap, lakini usirudie tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukishakula nyama ya mtu kuacha huwezi.Fanya mara moja chap, lakini usirudie tena.
hahahahaaa.. ikawaje?Don't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
mke wa mtu sumu shauri ako.. unataka tumuone jujujr wazi wazi na alivyo mweusi kama mpingoHakuna cha ajabu!
Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...
Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.
Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.
WE NAE!!
chepuka na yako bana!!
SO TUKIKWAMBIA USICHEPUKE NDO UTAACHA?
hebu tupunguziage dhambi!
MI LEO NSHAMTUKANA Mtatiro kimoyomoyo mpk nahs matusi yameisha!!
NIPUMZISHE KIDOGO!!
Hahahaaaa acha tuhahahahaaa.. ikawaje?
Chepuka ila usikute huyo Mume wa mtu ni Mume wangu.
Nikikudakaaaa maji lazima uite mma!!
Na nilichogundua alileta uzi wake ili tumpe baraka za kuchepuka tu na si vinginevyo.WE NAE!!
chepuka na yako bana!!
SO TUKIKWAMBIA USICHEPUKE NDO UTAACHA?
hebu tupunguziage dhambi!
MI LEO NSHAMTUKANA Mtatiro kimoyomoyo mpk nahs matusi yameisha!!
NIPUMZISHE KIDOGO!!
mbona unanizungusha sasaChepuka tu
Kwa hali hii Mama chepuka tu...chepukaaaa hakuna namnaNi kweli kuna kero zimepelekea hata niwaze kuchepuka, lakini nimeongea nimechoka, nimeshirikisha watu wazima lakini ndio kwanza naishia kupata kichapo.
Somtimes nafikiria sihaitaji chochote huko mchepukoni, All I need is appreciation, someone to appreciate me...to appreciate my beuty, sex...basi tu.