Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Unapaswa ujitoe ufahamu,ila itakuuma kabla na baada ya kuchepuka
 
[emoji1] [emoji1] imagine povu la u shauri la wanaume humu, yani wanawake Mungu alituumbia mioyo ya ajabu sana loh
Hahha wengine leo watarudi unashangaa mtu anasonya sonya tu, kumbe comments za humu zimemuharibia kilaji teh
 
Unakosa hata mda wa kumuwaza hawa wanaume wanaona rahisi sana kuchepuka wao na mara nyingine hadi wanatuonyesha lakini tunapiga kimya cha kupata kisukari nini akuu vyakula vya chumvi vitamu weee
Umeona eeeh bora tu kutafta kipoozeo tena ukute mchepuko wenyewe umemzidi mumeo kila idara chakufia nini kulia kisa MTU uliyekutana naye ukubwani, tena mi akiniudhi namtafta had rafiki yake
 
Yani wengine unakuta mke ndo mahaba kama yote kwa mume "hubby this hubby that", huku michepuko inasonya na kucheka kimoyomoyo ikikumbuka hubby mwenyewe ligi ya mchangani, anatambaa kama nyoka. Kudhalilishana tu mfyuuuu
Mwisho wa huu uzi ni mauaji... Na mtakuja kujutia kuwa mlimshauri upuuzi. You better advice her in a positive way an' let her decide on her own
 
Umeona eeeh bora tu kutafta kipoozeo tena ukute mchepuko wenyewe umemzidi mumeo kila idara chakufia nini kulia kisa MTU uliyekutana naye ukubwani, tena mi akiniudhi namtafta had rafiki yake
😛 😛 😛 umetisha mkuu em niache mie
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
Umenena kitu kikubwa dada, Mungu akutangulie nawe upate mume bora!
 
Uzuri siogopi talaka, labda nachofia ni future ya Kids, sitaki wapate malezi ya single parent

Unahofia mustakabali wa watoto?

Sikiliza....kwa nini ujipe shida ya kuibia?

Nyie talikianeni ili muwe huru zaidi.

Au kutombwa ukiwa huru hakunogi kama kutombwa kwa kuchiti?

Kuhusu watoto, kama baba na mama mpo kwenye maisha yao basi hakuna single parenting hapo.

Ni kwamba tu wazazi mtakuwa labda mnaishi tofauti na kadhalika lakini ikija kwenye maslahi ya watoto mnakuwa mko pamoja.

Hakuna haja ya kung’ang’ania ndoa iliyojaa usaliti na unafiki.

Mnakula viapo kuwa mtakuwa waaminifu huku mnajua kabisa uaminifu hamuuwezi.

Mnamdanganya nani sasa?

Anywho, to each their own.
 
You said it all.. Wewe na cariha. Kwa mwanaume muelewa, akiona mke kabadilika na kuanza kumpokea nyumbani usiku mnene na furaha.. Hata akifikia kukoroma na kutotoa huduma haulizwi.. Huyo mwanaume ajiulize maswali mengi sana.
Ke wapo smart sana siku hizi.
 
Comments zao humu majority wanawaongelea wake zao kama ni watu wenye matatizo na maudhi na ni kero sana, nabaki kujiuliza hivi wanaume wao huwa ni malaika au? Na ukweli mchungu ni kwamba ndoa nyingi zipo kwa sababu tu wanawake wameamua ziwepo. Wakiamua misunderstood, , siku si nyingi utasikia mume kadondoka ghafla. Nashangaa wanavyowatreat vibaya wake zao as if wanawake tu ndo wanazihitaji hizo ndoa na wao hawana shida nazo, kumbeee
Ndiyo maana ndoa nyingi zinasimama kwa mguu mmoja, ndoa za namna hii kutenguka ni rahisi sana, kama hazijatenguka basi zinashikamanishwa na watoto badala ya upendo.

Vv
 
Mwisho wa huu uzi ni mauaji... Na mtakuja kujutia kuwa mlimshauri upuuzi. You better advice her in a positive way an' let her decide on her own
Khaaa mpendwa kwani umeona popote niliposhauri? Me naelezea situation ya maisha ilivyo, najichekea tu huku kwa raha zangu. Huyu shetani naona bado hajampitia, angepitiwa hata muda wa kuomba ushauri asingepata
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri

Angaliaaa... zilizofanywa haramu zote tam. Utanogewa. Utakamatwa.
 
Wewe ni malaya ulishakubuhu unatujaribu hapa.. Nenda kapeleke hiyo nyama nyekundu... Na usitegemee kuna lolote huyo kijana atakupa zaidi ya dharau na kuidhalilisha familia yako....Idiot
Mkuu mbona kama unaumia sana eee kwani wew huchepuki au
 
Back
Top Bottom