Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Muache mmeo na yeye amuache mkeo,waoane mliowaacha na nyie muoane.
 
Japo hujafwata kanuni za uandishi hasa kuweka AYA, ila nimesoma kwa shida mpaka nimemailiza!! ujumbe na ushauri wako ni mzuri!!

Ili kurahisishia wengine edit ujumbe wako, weka aya na uupange vizuri ili usomeke kwa urahisi!!
nisamehe tu na muandiko wangu kama bata,nitafanya hivyo
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Ninyi ni viumbe wa AJABU sana hamjawahi RIDHIKA.
Ww nenda nimeshafahamu.
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Wewe chepuka tu ili moyo wako uridhike lakini kumbuka kuwa sio sawa unachotaka kufanya
 
Umeeleweka barabara
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo.
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
 
Sikia mke wa mtu usitutafutie sababu ukatupa dhambi kwa kushiriki uzinzi wako,iko hivi wanawake sisi hatuchepuki kwa kuamua asili yetu sisi siyo wahuni kama jinsia pinzani,tunachepuka kutokana na sababu na kufanya lile tendo huwa ni hisia zaidi hapo ina maana kuwa wewe mapenzi na hisia kwa mumewe yamepungua yamehamia kwa mume wa mtu,najua hawa wenzetu wana maudhi sana kuna vitu vitakuwa vimesababisha mpaka kufikia hapo,unachotakiwa kufanya nendeni sehemu rudieni honeymoon mpendwa nendeni hata pale saadani kuna beach na wanyama ongeeni kaenjoy mkimaliza jifungieni garagaleni chumbani kama vile siku za kwanza mlivyoanzana hakika upendo utarudi tu au kama kuna vitu kapunguza muambie au kama kakukera kuambie nauhakika ipo sababu iliyokufanya ukawaze hayo.
Kwa huyo mume wa mtu mchepuko wako mpotezeee block kila mahali usimpe nafasi wala sababu ya kukusogelea niamini anataka akufunue mcheze tu mchezo wa kikubwa hana upendo na wewe hata kumbuka hawa wenzetu kungonoka kwao ni kamchezo tu yaani kamchezo tu karahisi sana hakahitaji chochote tofauti na wewe utahatarisha ndoa yako na mapenzi yako.
Mimi nimekusaidia tu kukuelewesha pia upunguze idadi ya tusiooolewa maana naona kabisa unajichimbia kaburi
Wewe ni miongoni wa MASHOSTI aliowaita......mwenye sikio na asikie neno lako!
 
Sio kila unachotamani lazima ufanye. Endapo utafanyaje jiandae for a life time self insult. Kibaya ni kwamba hutaacha Ukianza na utatafuta hata mchepuko mwingine na mwingine huku dhamira ikikusuta. Kama utakaidi hayo ndio yatajiri(kwa sauti ya Kala Jeremiah)
Nimependa hiyo lifetime insult. Ni kweli kabisa...Mke wangu alikuwa nachepuka nilijua nilikaa kmya nikatafuta ushahidi nakaa kimya...kinachoendelea anajidhalilisha hata kma na mimi ananidhalilisha lakini anajidhalilisha zaidi...
 
Haha utatusikia "wanaume wote wapo hivyo hivyo", mweeh tunataabika duniani bado na mbinguni sasa

My kaka wanaume wengi mnachapiwa tu, na mnasamehe (or mnapretend kusamehe) na maisha yanaendelea kiunafiki vizuri tu. Kuachana sio kitu rahisi sana kama tunavyoongea hapa, wewe ukimdaka wifi utamuacha? Kama hujaanza kuwaza future ya wanao ukaamua tu kumdunda yakaisha teh. Mkiwa humu mnavimbaaaaaaaa
Mi naomba nisijibu hilo swali sista, teh!!
 
Nimependa hiyo lifetime insult. Ni kweli kabisa...Mke wangu alikuwa nachepuka nilijua nilikaa kmya nikatafuta ushahidi nakaa kimya...kinachoendelea anajidhalilisha hata kma na mimi ananidhalilisha lakini anajidhalilisha zaidi...
Ahhaa hivi wewe ndo ulimuacha mkeo afu huko alipo anashine hadi wewe unapata tabu sana, au?
 
Back
Top Bottom