Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
vp ulishachepuka?/
 
Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Unadhani huyo unaetaka kuzini nae yuko tofauti,kwani unayajua mambo ya ndani ya ndoa yake?!!
Na mmeo akijua ulishawahi kufikiria itakuaje?!! Nikutahadharishe siku mmeo akihisi sio kujua tu,basi hio ndoa itakua jehanam yako.
Kuna msemo unasema the far grasses are greener. tunza ulichonacho.
 
Habari za mchana.

Mrejee kichwa cha habari tajwa, Kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, Na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.

Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.

Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
kweli we ni MAMA K* [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila wanaume huwa mnatufundisha tabia mbaya sana. Uchepukaji kwa mwanamke alieolewa asilimia kubwa husababishwa na mwanaume. Kama suluhisho la mwisho kwako ni kuchepuka dada we kachepuke tu upate amani ya moyo 😉😛😉
 
Hakuna cha ajabu utakachokutana nacho Zaidi ya kujishushia heshima kwa uliyetembea nae na kwa mumeo akijua.


Kutembea nje ya ndoa kwa mwanamke naamini ni kumdhalilisha mumeo. Yule ulitembea nae hatamuheshimu mumeo hata mara moja.

Na utamfanya mumeo ajione si lolote mbele ya jamii. Tujaribu kuwapa heshima zao wanaotupa heshima ya kuwa wake zao.
Duuh pongezi kwako, hapo upo kwa mangi u agiza kwa jina langu au upo wapi
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Wanawake tukichepuka dharau kwa mume haziepukiki.

Wanaume wanatamani na wanachepuka na yeyote.

Wanawake huwa tunakuwa na watu tunaowapenda na bahati yetu mbaya hatuwezi kupenda wanaume wawili kwa pamoja.

Labda achepuke huku akijiandaa kwa lolote, ikiwemo kuachwa na huyo amayechepuka nae kumuacha abaki na mkewe.


Wanawake huwa hatujiulizi maswali ya msingi ambayo wanaume hujiuliza. Mwanaume akiona umemkubali ukiwa na mumeo basi hata ukiachwa naye anaacha anaamini atafanyiwa vile vile
Fantastic point
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Ilitokea tu nikamkubali mtu mtaani
Nikajifanya nunda nikamtafuta
Tukaelewana, Ile siku tunaenda kufanya yetu natoka mlangoni Mr huyu hapa

Usiulize kilifata nini!
Kilifuata nn
 
Hii tabia ya kuchepuka imeshka kasi kweli kuna jamaa yangu yuko dodoma mke amemuacha dar anafanya kazi benki...sasa kila kukicha anaomba ushauri
 
Tupe mrejesho, umeshaliwa kimasihara tukasome stori kwenye uzi pendwa?
 
☹️
 

Attachments

  • 06B07514-8B26-4868-A349-12278198CAF7.jpeg
    06B07514-8B26-4868-A349-12278198CAF7.jpeg
    24.9 KB · Views: 7
Back
Top Bottom