Nataka kufahamu mambo muhimu katika Uwekezaji kwenye shule ya awali

Nataka kufahamu mambo muhimu katika Uwekezaji kwenye shule ya awali

Samwel Ngulinzira

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
1,829
Reaction score
1,972
Habari ya wakati huu!
Napenda kufahamu mambo machache juu ya uendeshaji wa shule ya chekechea (elimu ya awali).
Napenda kufahamu juu ya gharama za ujenzi wa madarasa matatu yaliyoungana pamoja na ofisi ya walimu na vyoo.
Kuna changamoto zipi wakati wa kupata kibali cha ujenzi? Je ni lazima niwe na statement ya benki milioni 60?
Usajili unachangamoto zipi?
Gharama za uendeshaji zikoje?
Faida zake kiuchumi zikoje (inalipa)?
 
Mi nilikua na makadirio ya milioni 25 kwa ujenzi wa madarasa na majengo yote ya shule.
Usifanye mambo kienyeji mkuu. Mtafute architects adesign eneo lako akupe ramani na makadirio ya ujenzi.
Kuhusu ujenzi hapa tutakudanganya tuu since hakuna mtu anaeweza kukupa makadirio bila kufika site.
Labda uliza hayo mambo mengine ndio utapata majibu labda
 
Mi nilikua na makadirio ya milioni 25 kwa ujenzi wa madarasa na majengo yote ya shule.
Usifanye mambo kienyeji mkuu. Mtafute architects adesign eneo lako akupe ramani na makadirio ya ujenzi.
Kuhusu ujenzi hapa tutakudanganya tuu since hakuna mtu anaeweza kukupa makadirio bila kufika site.
Labda uliza hayo mambo mengine ndio utapata majibu labda
 
Usifanye mambo kienyeji mkuu. Mtafute architects adesign eneo lako akupe ramani na makadirio ya ujenzi.
Kuhusu ujenzi hapa tutakudanganya tuu since hakuna mtu anaeweza kukupa makadirio bila kufika site.
Labda uliza hayo mambo mengine ndio utapata majibu labda
Thanks mkuu...nashukuru kwa ushauri wako.
 
Mi nilikua na makadirio ya milioni 25 kwa ujenzi wa madarasa na majengo yote ya shule.
Tatizo sio majengo tatizo ni usajili wa hiyo shule kwa mjibu wa wizara husika.
Eneo liwe na 2accre ikiwa town ukiwa sio town accre7
Uombe kubali cha kujenga kwa kuwabatanisha yafuatayo
Hati ya kiwanja, uwezo wako 60m nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
 
bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
TUKO PAMOJA MKUU,
TUSEME "TAWIRE".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio majengo tatizo ni usajili wa hiyo shule kwa mjibu wa wizara husika.
Eneo liwe na 2accre ikiwa town ukiwa sio town accre7
Uombe kubali cha kujenga kwa kuwabatanisha yafuatayo
Hati ya kiwanja, uwezo wako 60m nk.


Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Vyote vipo isipokua hiyo 60M haiwezekani nikaanza ujenzi taratibu?
 
MKUU,
ACHA UJINGA!!!

MADARASA MATATU NA OFISI MOJA YA WALIMU MPAKA FINISHING KWA MILIONI 25, HAYO MAJENGO AMA HAYATAKAMILIKA AU HAYATAKUWA NA KIWANGO STAHIKI!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga akielimishwa anaelimika...eneo nalojenga kuna mchanga na ni flat.
Tofali za kuchoma zinapatikana kwa urahisi na za block naweza kuwapa watu wakafyatua.
Gharama ambayo naiona itakuepo ni sementi, kokoto,maji na nondo.
Lengo langu ilikua kupata uzoefu kwa wanaofanya shughuli hii.
 
Back
Top Bottom