Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
- Thread starter
-
- #21
Vizuri sana mkuu, nmependa ujasiri wako.bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
Kweli kipindi cha nyuma iliwezekana kufanya hivo viongozi walikua wanathamini wajasiliamali na nguvu ya mtu sio kwasasa hivi unaweza ukafungiwa na ukapewa kesi kubwa viongozi wana roho mbaya hawataki mtu atokebahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
bahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
Asante mkuu kwa ushauriAnza na darasa moja kwanza ....
Asante mkuu kwa ushauriNashangaa mtu anaambiwa eka mbili..na huku huko mijini mtu anakodi jengo anawek bembea mchezo umeisha ..! Ni yy aanze kujenga mengine yatajiset tu!
Niliwahi kuona mahali fulani mwongozo wa wizara ya ardhi ukionyesha kwa shule ya awali inayochukua watoto kati ya 50 na 150 ukubwa wa eneo unatakiwa kuwa kati ya mita za mraba 1,200-1800. Kwa shule ya msingi inayochukua wanafunzi kati ya 315 na 945 ukubwa wa eneo unatakiwa kuwa kati ya hekta 1.5 na 4.5 ambazo ni kama ekari 3.7 hadi 11. Kukosolewa ni halali.Sawa mkuu...nitalizingatia hilo
Umeongea kikwetukwetubahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
Asante sana mkuuUshauri..kodi jengo fanya renovation...nenda serikali za mtaa acha fungu lao kisha nenda manispaa acha fungu lao..ajiri walim wachache anza kupiga mzigo....ukifata protocali hata mil 200 itakuwa ndogo
KIPENGELE CHA KUPAUA NACHO USIKISAHAU.Mjinga akielimishwa anaelimika...eneo nalojenga kuna mchanga na ni flat.
Tofali za kuchoma zinapatikana kwa urahisi na za block naweza kuwapa watu wakafyatua.
Gharama ambayo naiona itakuepo ni sementi, kokoto,maji na nondo.
Lengo langu ilikua kupata uzoefu kwa wanaofanya shughuli hii.
Nitakushauri hivi wewe na watu wote wenye mawazo ya kuanzisha shule: Jambo muhimu sana sana ni kujitofautisha na wengine. Ilivyo ni kwamba kuna utitiri wa nursery school na kila unayokwenda unakuta ina sifa zile zile (kwa bahati mbaya sana ni sifa mbaya). 1. Ujanja janja wa kupiga fedha: Ukiondoa zile shule za maana kama Internatinal school, hizi nyingine zote wana vi-ada, vi-michango na tozo zisizo na maana. kwa mfano tu hili la kumpa mtu tenda ya kushona sare ni kero moja mbaya sana. Kwa nini kama umeamua wanafunzi wavae sare fulani usiwape uhuru wa kushona au kununua wanapotaka? Je, hakuna uwezekano wa wanafunzi kusoma kwa nguo za kawaida tu kama nchi nyingine? 2. Mazingira ya shule: Shule karibu zote nilizozungumzia zina mazingira yanayofanana i.e. ya hovyo, machafu, hakuna maua, miti wala bustani. 3. Vyakula vya hovyo: Vyakula navyo utadhani kuna sheria inataka walishe watoto vyakula vya aina moja. Wengi ni uji wa dona, ugali wa maharage nk. Anyway, kuna mengi sana yanafanya nursery zetu ziwe za kijima na wewe una nafasi ya kuanzisha kitu kipya (japo kwa style uliyoanza nayo tu naona utafuata mkondo). Mwisho nikuambie kuwa kama unataka kutengeneza faida ya mara moja kwenye shule, basi hiyo siyo biashara inayokufaa. Shule kwanza inatakiwa u-invest kwa muda ndiyo utaona matokeo yake.Sawa mkuu...nitalizingatia hilo
Mkuu hizo changamoto nimezishuhudia na nmeamua kuwa tofauti na wengine.Nitakushauri hivi wewe na watu wote wenye mawazo ya kuanzisha shule: Jambo muhimu sana sana ni kujitofautisha na wengine. Ilivyo ni kwamba kuna utitiri wa nursery school na kila unayokwenda unakuta ina sifa zile zile (kwa bahati mbaya sana ni sifa mbaya). 1. Ujanja janja wa kupiga fedha: Ukiondoa zile shule za maana kama Internatinal school, hizi nyingine zote wana vi-ada, vi-michango na tozo zisizo na maana. kwa mfano tu hili la kumpa mtu tenda ya kushona sare ni kero moja mbaya sana. Kwa nini kama umeamua wanafunzi wavae sare fulani usiwape uhuru wa kushona au kununua wanapotaka? Je, hakuna uwezekano wa wanafunzi kusoma kwa nguo za kawaida tu kama nchi nyingine? 2. Mazingira ya shule: Shule karibu zote nilizozungumzia zina mazingira yanayofanana i.e. ya hovyo, machafu, hakuna maua, miti wala bustani. 3. Vyakula vya hovyo: Vyakula navyo utadhani kuna sheria inataka walishe watoto vyakula vya aina moja. Wengi ni uji wa dona, ugali wa maharage nk. Anyway, kuna mengi sana yanafanya nursery zetu ziwe za kijima na wewe una nafasi ya kuanzisha kitu kipya (japo kwa style uliyoanza nayo tu naona utafuata mkondo). Mwisho nikuambie kuwa kama unataka kutengeneza faida ya mara moja kwenye shule, basi hiyo siyo biashara inayokufaa. Shule kwanza inatakiwa u-invest kwa muda ndiyo utaona matokeo yake.
Kuna mambo mengine ni ngumu kufanya unavyofanya wewe, hususani shule, kiwanda, utaingia hasara ambayo hutokuja isahau!!! Kwani kuna mambo mengi ya kufuata kabla hujaanza, kutia pesa yakobahati mbaya Sana Mimi nakuwa tofauti na wengine pindi ninapotaka kuanzisha Jambo langu, Mimi huwa naanzishaga tu bila kujiuliza maswali mengi, naanzishaga Kisha TRA watakuja, wizara itakuja, na wengine watakuja,Kisha tunakaa meza moja tunayajenga safar inaendelea, lakini ukifuata vigezo na mashart hata duka la vyombo la kawaida hutofungua.....inchi ngumu hiii
Anamdanganya. Akifanya hivyo bila kufanya japo utafiti na ikitokea akafeli huyo huyo atarudi hapa na kumkejeli kwa maswali kwamba utaanzishaje mradi kama huo kwa kukurupuka bila kufanya utafiti.Kuna mambo mengine ni ngumu kufanya unavyofanya wewe, hususani shule, kiwanda, utaingia hasara ambayo hutokuja isahau!!! Kwani kuna mambo mengi ya kufuata kabla hujaanza, kutia pesa yako
Hivi daycare nayo inahesabika kwenye taratibu hizi?Tatizo sio majengo tatizo ni usajili wa hiyo shule kwa mjibu wa wizara husika.
Eneo liwe na 2accre ikiwa town ukiwa sio town accre7
Uombe kubali cha kujenga kwa kuwabatanisha yafuatayo
Hati ya kiwanja, uwezo wako 60m nk.
Sent using Jamii Forums mobile app