ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 674
- 1,017
dawa za binadamu yaani pharmacy.
kwa dawa binadamu utauza tu coz magonjwa mengi pia kwa tunduma hakuna maduka makubwa ya madawa kama mbeya mjini pale kuna mwasalipa nae duka sio kubwa sana. Pia kuna sehemu inaitwa Mlowo wilaya ya mbozi ni pazuri pia coz utakuna uwanja mkubwa wa kuwa monopoly