BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
Salamu Waungwana wa Ukumbi huu adhimu.
Kuna visenti nimevipata mahali natafuta namna ya kuviongeza. Ninafikiria kufanya biashara ya Asali kwa kuanzia niende Tabora na kununua japo dumu mbili za lita ishirini ishirini za Asali mbichi ambapo nimeambiwa bei ya dumu la lita 5 ni kati ya shs Alfu 45 na 50 na kwa maana hiyo dumu mbili zenye lita 40 ni jumla ya shs Laki 4.
Napanga kuzileta dumu mbili hapa dar na kuiweka Asali kwenye chupa za ujazo wa lita moja moja ambapo huuzwa kwa bei ya kati ya shs Alfu 25 hadi 30 ambapo katika chupa zangu 40 ninatarajia kupata japo 1,000,000/ kwa bei ya shs 25 kila lita. Nikitoa shs 500,000/ za manunuzi ya asali na gharama nyinginezo ninabaki na Laki 5 za faida. Hii ni kws trip moja tu.
Ninakuombeni mnifahamishe Changamoto kadha wa kadha mnazoziona katiks Upambanaji wangu nonaofikiria kuujaribu kuufanya.
Karibuni.
Kuna visenti nimevipata mahali natafuta namna ya kuviongeza. Ninafikiria kufanya biashara ya Asali kwa kuanzia niende Tabora na kununua japo dumu mbili za lita ishirini ishirini za Asali mbichi ambapo nimeambiwa bei ya dumu la lita 5 ni kati ya shs Alfu 45 na 50 na kwa maana hiyo dumu mbili zenye lita 40 ni jumla ya shs Laki 4.
Napanga kuzileta dumu mbili hapa dar na kuiweka Asali kwenye chupa za ujazo wa lita moja moja ambapo huuzwa kwa bei ya kati ya shs Alfu 25 hadi 30 ambapo katika chupa zangu 40 ninatarajia kupata japo 1,000,000/ kwa bei ya shs 25 kila lita. Nikitoa shs 500,000/ za manunuzi ya asali na gharama nyinginezo ninabaki na Laki 5 za faida. Hii ni kws trip moja tu.
Ninakuombeni mnifahamishe Changamoto kadha wa kadha mnazoziona katiks Upambanaji wangu nonaofikiria kuujaribu kuufanya.
Karibuni.