DadiMkaliWao
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 242
- 380
Na hiyo ndo bei hadi sasa hivi. Nimenunua asali mwezi Februari 2024 kwa bei hiyo ya Tsh. 12,000 kwa lita.Ndugu unauhakika na hizo hesabu zak?
Soko lako?
Maana naona umeweka bei kubwa sana
Lita moja ya asali Dar ni 12000