Nataka kufuga nyuki kisasa

Nataka kufuga nyuki kisasa

Hongera sana mkuu.
Hakika unazifi kunipatia hamasa.
Nmekuwa na lengo hili muda mrefu ila utekelezaji umekuwa mgumu kutokana na aina ya shamba nililo nalo.

Ipo siku nitakamilisha na mm
Kila jema liwe kwako
 
Leo wameenda kukagua mizinga...tumekuta mizinga 20 tu ndio imeingia.Wameikagua hakuna shida tunahisi labda kalenda yao imetupita
 
Hongera Mkuu jitaidi usiweke mizinga kwenye Mti ambao chini Kuna kichuguu Cha Mchwa maana Nyuki akai sehemu ambapo Mchwa wapo
Sikulijua hili mkuu,
Unaweza fahamu sababu gani inapelekea hili kitalaam?
 
Nimefanikiwa kupata shamba la ekarim kama 50 ambapo kati ya hizo 20 ni msitu, lina chanzo cha maji cha ukakika na nimeshauriwa nifuge nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa.

Niefikiria kuweka mizinga 200 ya kisasa ambayo kwa wastani nipate madumu ya lita 20 kama 150 kila ninapovuna.

Mizinga nitaiweka kwenye banda na nitaweka mtu wa kuishi huko shamba ili awe anaikagua na asali yangu nitauza Dar es Salaam au soko la nje kwa wastani wa TZS 200,000.

Mizinga nitaichona kwa elfu 20m kila mmoja kwa kuwa mbao zinapatikana kwa urahisi na fundi wangu hana bei kubwa.

Mizinga nitaiweka mwezi Desemba 2023 na mvuno wa kwanza utakuwa around June 2024. Soko la asali na nta halijawahi kuwa baya kama utazalisha Quality product.
Ndugu habari?
Vipi unaweza kunisaidia huko ulikopata shamba ni wapi na bei zao zikoje?
 
Nipe kazi ya kukuzalishia Makundi ya nyuki kwa mizinga yako hiyo yote 180- nnahitaji miezi 2 yote itajaa nyuki
Leo wameenda kukagua mizinga...tumekuta mizinga 20 tu ndio imeingia.Wameikagua hakuna shida tunahisi labda kalenda yao imetupita
Nyuki wakiwa wengi kutokana na kuwepo wingi wa Chakula chao utengeneza kundi jingine na kutafuta sehemu ingine na kuanza kundi jipya! Inaonekana maeneo jirani na ulipoweka mizinga kulikuwa na hayo 20 makundi ... Nyuki uwa na Scouts wanaotafuta maeneo bora ya kukaa so wakaona hiyo 20 mizinga na kuamia. Wakati wa kiangazi ni Nadra makundi kuongezeka na pia upatikanaji wa Chakula chao pia kunaweza Changia Nyuki kutozalisha makundi mapya.... hapo Technology hutumika na kuzalisha idadi yoyote ile ya Makundi ya Nyuki( kwa kuanza kwanza kuzalisha Malkia wao) ulaya na Kwengineko Kuna makampuni kazi yao ni kuzalisha Makundi ya nyuki na kuuza. Karibu tuongee tuje tukuzalsihie makundi ya Nyuki idadi utakayo! BEI MAELEWANO😁
 

Attachments

  • IMG_0707.jpeg
    IMG_0707.jpeg
    668.4 KB · Views: 10
  • IMG_0708.jpeg
    IMG_0708.jpeg
    788.3 KB · Views: 10
  • IMG_0709.jpeg
    IMG_0709.jpeg
    444.3 KB · Views: 10
Nimefanikiwa kupata shamba la ekarim kama 50 ambapo kati ya hizo 20 ni msitu, lina chanzo cha maji cha ukakika na nimeshauriwa nifuge nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa.

Niefikiria kuweka mizinga 200 ya kisasa ambayo kwa wastani nipate madumu ya lita 20 kama 150 kila ninapovuna.

Mizinga nitaiweka kwenye banda na nitaweka mtu wa kuishi huko shamba ili awe anaikagua na asali yangu nitauza Dar es Salaam au soko la nje kwa wastani wa TZS 200,000.

Mizinga nitaichona kwa elfu 20m kila mmoja kwa kuwa mbao zinapatikana kwa urahisi na fundi wangu hana bei kubwa.

Mizinga nitaiweka mwezi Desemba 2023 na mvuno wa kwanza utakuwa around June 2024. Soko la asali na nta halijawahi kuwa baya kama utazalisha Quality product.
Habari mkuu, ulifanikiwa ? Mrejesho ukoje ni mwezi wa nane sasa
 
Nyuki wakiwa wengi kutokana na kuwepo wingi wa Chakula chao utengeneza kundi jingine na kutafuta sehemu ingine na kuanza kundi jipya! Inaonekana maeneo jirani na ulipoweka mizinga kulikuwa na hayo 20 makundi ... Nyuki uwa na Scouts wanaotafuta maeneo bora ya kukaa so wakaona hiyo 20 mizinga na kuamia. Wakati wa kiangazi ni Nadra makundi kuongezeka na pia upatikanaji wa Chakula chao pia kunaweza Changia Nyuki kutozalisha makundi mapya.... hapo Technology hutumika na kuzalisha idadi yoyote ile ya Makundi ya Nyuki( kwa kuanza kwanza kuzalisha Malkia wao) ulaya na Kwengineko Kuna makampuni kazi yao ni kuzalisha Makundi ya nyuki na kuuza. Karibu tuongee tuje tukuzalsihie makundi ya Nyuki idadi utakayo! BEI MAELEWANO😁
Boss kwa makadirio ya kawaida, kuzalisha makundi 100 ya nyuki kwa teknolojia yenu itanihitaji niwe na kiasi gani cha fedha?.
 
Boss kwa makadirio ya kawaida, kuzalisha makundi 100 ya nyuki kwa teknolojia yenu itanihitaji niwe na kiasi gani cha fedha?.
Kundi moja + Malkia ni 50,000 . Ambapo baada ya hapo utawingiza kwenye mzinga na Malkia ataanza taga mayai, na kuanza kuzaliwa nyuki ndani ya mzinga na workers wataanza zalisha asali na mzinga kuanza jaa Nyuki na Asali.
 
Back
Top Bottom