jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
2009 nilifik Mtwara nilishangaa kitimoto bei juu sana halafu inaliwa balaa! Hawa ndugu zetu nao ni washirika wazuri.
Kitimoto ni jamii ya nguruwe pori na nguruwe pori ni mnyama anayaliwa sana watu wengi wa afrika kabla dini za waarabu kuja kuwapotosha eti haramu wft.