Nataka kuhamia Bariadi Mjini kufanya biashara ya nafaka

Nataka kuhamia Bariadi Mjini kufanya biashara ya nafaka

Joined
Aug 17, 2020
Posts
10
Reaction score
8
Kwema wadau mimi kijana mfanyabiashara mdogo wa vinywaji baridi kama soda, maji n k. Lengo kuu la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kibiashara na kimaisha.

Nimepata wazo la kutaka kuhamia mjini Bariadi ili niendeleze maisha huko pamoja na biashara zangu

Kwa ambaye anapafahamu vizuri Bariadi, je biashara ya nafaka inalipa huko? Je mzunguko wa pesa unaeleweka?

Nimewasilisha uzi huu kwenu wadau Asante.
 
Kwema wadau Mimi kijana mfanyabiashara mdogo wa vinywaji baridi kama soda, maji n k. Lengo kuu la kuandika uzi huu ni kuomba ushauri wa kibiashara na kimaisha.

Nimepata wazo la kutaka kuhamia mjini bariadi ili niendeleze maisha huko pamoja na biashara zangu

Kwa ambaye anapafahamu vizuri bariadi je biashara ya nafaka inalipa huko? Je mzunguko wa pesa unaeleweka?

Nimawasilisha uzi huu kwenu wadau Asante.
Nenda kapige Biashara. Maeneo Mazuri kwa Nafaka Bariadi ni kama Dutwa, Igegu, mkula, na Lamadi Town. Itakulipa sana
 
Wahi Kule Viwanja Vya Maonyesho Yakabidi Ukapige Pesa Ujaze Kapu
 
Nenda kuna ela kule me nilikua nachukua bidhaa Gamboshi napeleka bariadi nilipiga ela sana
 
Back
Top Bottom