Nataka kuhamia Canada nikaishi huko naomba ushauri

Nataka kuhamia Canada nikaishi huko naomba ushauri

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,417
Reaction score
6,149
Habari wanajukwaa.

Nimeamua mwakani mimi na familia yangu mke na watoto wawili tunatarajia kuhamishia maisha yetu Nchi ya Canada.

Nina kiasi Cha shilingi 50M ambacho nimeweka kwajili ya kutusaidia tutakapo fika huko kujipanga kimaisha.
Kwa sasa ninafuatilia visa ubalozini maana huwa zinachelewa kutoka kuanzia miezi 5 hadi 8, sasa kwa watu mliopo huko au waliowahi kufika huko naombeni mnisaidia ni mji upi hauna gharama sana za kimaisha na mambo mengine.

Ushauri wenu ni muhimu sana maana hadi sasa sijachagua mji gani nikaishi.
 
Habari wanajukwaa.
Nimeamua mwakani mimi na familia yangu mke na watoto wawili tunatarajia kuhamishia maisha yetu Nchi ya Canada.
Nina kiasi Cha shilingi 50M ambacho nimeweka kwajili ya kutusaidia tutakapo fika huko kujipanga kimaisha.
Kwa sasa ninafuatilia visa ubalozini maana huwa zinachelewa kutoka kuanzia miezi 5hadi 8 sasa kwa watu mliopo huko au walio wahi kufika huko naombeni mnisaidia ni mji upi hauna gharama sana za kimaisha na mambo mengine ushauri wenu ni muhimu sana maana hadi sasa sijachagua mji gani nikaishi
Unaomba viza category ipi?
 
Habari wanajukwaa.
Nimeamua mwakani mimi na familia yangu mke na watoto wawili tunatarajia kuhamishia maisha yetu Nchi ya Canada.
Nina kiasi Cha shilingi 50M ambacho nimeweka kwajili ya kutusaidia tutakapo fika huko kujipanga kimaisha.
Kwa sasa ninafuatilia visa ubalozini maana huwa zinachelewa kutoka kuanzia miezi 5hadi 8 sasa kwa watu mliopo huko au walio wahi kufika huko naombeni mnisaidia ni mji upi hauna gharama sana za kimaisha na mambo mengine ushauri wenu ni muhimu sana maana hadi sasa sijachagua mji gani nikaishi
Hamia Ukraine mkuu ama Palestine kule sahizi wanauza uraia ukipata n rahisi kwenda hata mbinguni nn canada
 
Habari wanajukwaa.
Nimeamua mwakani mimi na familia yangu mke na watoto wawili tunatarajia kuhamishia maisha yetu Nchi ya Canada.
Nina kiasi Cha shilingi 50M ambacho nimeweka kwajili ya kutusaidia tutakapo fika huko kujipanga kimaisha.
Kwa sasa ninafuatilia visa ubalozini maana huwa zinachelewa kutoka kuanzia miezi 5hadi 8 sasa kwa watu mliopo huko au walio wahi kufika huko naombeni mnisaidia ni mji upi hauna gharama sana za kimaisha na mambo mengine ushauri wenu ni muhimu sana maana hadi sasa sijachagua mji gani nikaishi
wasiliana na dr.mihogo (slaa) upate abc
 
Habari wanajukwaa.
Nimeamua mwakani mimi na familia yangu mke na watoto wawili tunatarajia kuhamishia maisha yetu Nchi ya Canada.
Nina kiasi Cha shilingi 50M ambacho nimeweka kwajili ya kutusaidia tutakapo fika huko kujipanga kimaisha.
Kwa sasa ninafuatilia visa ubalozini maana huwa zinachelewa kutoka kuanzia miezi 5hadi 8 sasa kwa watu mliopo huko au walio wahi kufika huko naombeni mnisaidia ni mji upi hauna gharama sana za kimaisha na mambo mengine ushauri wenu ni muhimu sana maana hadi sasa sijachagua mji gani nikaishi
Marekani kuna opportunity nyingi sana na bei ya nyumba ni affordable kuliko canada
 
Kama una uhakika wa kuingiza kipato ukiwa huko basi nenda, maana hiyo 50M itaisha.
 
Mimi kama mbeba box mzoefu sikushauri kubeba familia yako yote kwa mara ya kwanza,
Nenda peke yako ukacheki situation kwanza,

Mambo yakiwa sawa ndio unahamisha familia yako,

All the best Bro.
Nakusalimu Tajiri mbeba box..

Muambie uhalisia watu hawaamiii tu hata Tanzania sheria hairuhusu watu kuamia tu
 
Unakimbia matatizo ?

Matatizo hayakimbiwi yatanakabiliwa...

Hakuna kukimbia mtu hapa.
 
Kwa experience yangu mkuu kaishi Quebec na Saskatchewan patakufaaa sana ila ni vijijini huku Mkuu pamejaa sana mbuzi na ng'ombe watu wachache sana ila panafaa kama unapenda cheapest
Kwa hiyo kama pamejaa mbuzi na ng'ombe na watu ni wachache 😁 unamaanisha na yeye aende kama mbuzi, ng'ombe au part ya hao watu wachache 😀 nauliza tu chief
 
Kwa hiyo kama pamejaa mbuz na ng'ombe nai watu ni wachache 😁 unamaanisha na heye aende kama mbuzi, ng'ombe au part ya hao watu wachache 😀 nauliza tu chief
Aende kama binadamu kaka ila kumejaa sana mifugo pande hizoo watu wanafuga sana mbuzi
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom