Nataka kuhamia Canada nikaishi huko naomba ushauri

Mimi nilipofika huko nilienda kituo cha mabasi ya mikoani nikafanikiwa kuishi hapo huku nikipigadebe kwa zaidi ya miaka mitatu, uzuri milo zipo sehemu zinasaidia wasiokuwa na pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…