Nataka kuhamia faculty ya vetenary medicine naomba process za kufanya ili niweze kuhama

Nataka kuhamia faculty ya vetenary medicine naomba process za kufanya ili niweze kuhama

Lugano5

R I P
Joined
Jul 15, 2010
Posts
4,520
Reaction score
757
nimechaguliwa Bs in human and consumer studies na ninataka kuhamia VETENARY MEDICINE Naomba ushaur nifanye nn?
 
jaman naomben ushaur i real lv BVM BT NIMECHAGUA HUMAN AND CONSUMER STUDIES ILI IWE NJIA YA KUINGIA SUA NA KUBADILISHA FACULTY,JKT NDO IMEFANYA MAMBO YANGU YAENDE KOMBO
 
jaman naomben ushaur i real lv BVM BT NIMECHAGUA HUMAN AND CONSUMER STUDIES ILI IWE NJIA YA KUINGIA SUA NA KUBADILISHA FACULTY,JKT NDO IMEFANYA MAMBO YANGU YAENDE KOMBO

nauhakika lazima upate na ni rahisi we nenda administration yao waulize sababu hiyo kozi huwa wanaomba wachache so watafurahi wakiona mnataka kuongezeka ila watashangaa eti unahamia BVM
 
hujasema ni masomo gani yalikuwezesha kuipata hiyo kozi uliyopangiwa. jamaa wa vet - mmmhhh!
 
Supp za kumwaga zinakuita mpaka kufikia kuahirisha mwaka........kemea hilo pepo umalize zako chuo kwa amani na usalama kwa ujumla
 
nimechaguliwa Bs in human and consumer studies na ninataka kuhamia VETENARY MEDICINE Naomba ushaur nifanye nn?

Huku dogo tumejaa tuko zaidi ya 70!

Kama kweli ulikuwa unaipenda kama unavyodai kwa nini hukuiweka chaguo la kwanza? Kama ilikuwa chaguo lako la kwanza basi jamaa wameona hutaiweza hiyo kozi ndo maana wakakupanga huko unakoenda! By the way dogo hujipendi eeeeh? Huku tuachie sisi tuliokubali kujitoa mhanga, yaani kwa ufupi tumemua kujilipua wenyewe!! Lakini hata hivyo hata kule kwingine (eXtension, Agribus, n.k.) mbona nako wana-supp? Jamani tusitishane ati!

Huyu dogo mimi ningemkaribisha lakini kwa vile tumejaa acha sisi tuende tu!!
 
jaman naomben ushaur i real lv BVM BT NIMECHAGUA HUMAN AND CONSUMER STUDIES ILI IWE NJIA YA KUINGIA SUA NA KUBADILISHA FACULTY,JKT NDO IMEFANYA MAMBO YANGU YAENDE KOMBO

Baki hukohuko bvm haina soko kwa sasa
 
point za kuhamia ninazo kwan hawawez kunichukua nikitaka kuhamia?
 
Huku dogo tumejaa tuko zaidi ya 70!

Kama kweli ulikuwa unaipenda kama unavyodai kwa nini hukuiweka chaguo la kwanza? Kama ilikuwa chaguo lako la kwanza basi jamaa wameona hutaiweza hiyo kozi ndo maana wakakupanga huko unakoenda! By the way dogo hujipendi eeeeh? Huku tuachie sisi tuliokubali kujitoa mhanga, yaani kwa ufupi tumemua kujilipua wenyewe!! Lakini hata hivyo hata kule kwingine (eXtension, Agribus, n.k.) mbona nako wana-supp? Jamani tusitishane ati!

Huyu dogo mimi ningemkaribisha lakini kwa vile tumejaa acha sisi tuende tu!!

kwa hyo kama imejb ndo cwez kuhamia nan kakudanganya
 
Supp za kumwaga zinakuita mpaka kufikia kuahirisha mwaka........kemea hilo pepo umalize zako chuo kwa amani na usalama kwa ujumla

kaka nime nimejitoa kuixoma na cwez kufel
 
Hakuna mtaala wa kuhama kozi chuo mdogo wangu!

Badala ya kwenda ama kupiga simu chuoni ofisi za admissions uulize mchakato huo unavyokua, wewe unakuja humu!

Angalia asilimia kubwa ya majibu hayakidhi hitaji lako! Internet haiwezi kukupa kila kitu, unapohitaj kitu lazima pia ufikirie namna sahihi ya kufikia!
Ni ushauri tu, take it or leave it!
 
nauhakika lazima upate na ni rahisi we nenda administration yao waulize sababu hiyo kozi huwa wanaomba wachache so watafurahi wakiona mnataka kuongezeka ila watashangaa eti unahamia BVM

Mwaka huu na mwaka jana wamechukua watu zaid ya 70(mwaka jana 100+ na mwaka huu70+) sasa unaposema wapo wachache unamaanisha nini?? Cha msingi jamaa achek kama ana one au two ya mwanzo atapata nafasi na pia anaweza asipate!!! Siku hizi watu wameshtuka na wengi sana hasa wenye ufaulu wa juu wana apply hii kozi!!!
 
Baki hukohuko bvm haina soko kwa sasa

Thibitisha!?? BVMna law au business ni wapi wanahitajika katika hii nchi na dunia kwa ujumla?? Kwanin mtu wa bvm ana uhakika wa 100% wakati mtu wa law ni non priority katika loan?? TUMIA USOMI WAKO KUNIJIBU HAYA MASWALI.
 
Back
Top Bottom