Nataka kuhamia faculty ya vetenary medicine naomba process za kufanya ili niweze kuhama

Nataka kuhamia faculty ya vetenary medicine naomba process za kufanya ili niweze kuhama

Mwenzetu yeye anasema English na hesabu inatosha!

huyu dogo naona ana utamii hata hiyo koziii ya kwanza aliochaguliwa sidhani kama ataiweza even though ni wasichana tu wanayoisoma... by da way hongera kwa kuwa kijana wa kwanza kuchaguliwa family consumer
 
Bado sijajua nia ya huyu dogo #lugano5 ...hayapendi maisha yake kabisa,tena chuo chenyewe cha wabishi,sidhani kama atapona...watamla vichwa mpaka akili imkae vizuri.....!!!
 
huyu dogo naona ana utamii hata hiyo koziii ya kwanza aliochaguliwa sidhani kama ataiweza even though ni wasichana tu wanayoisoma... by da way hongera kwa kuwa kijana wa kwanza kuchaguliwa family consumer

Ila Duduz tuache utani, hivi ni kweli huko wanaingia 70 wanamaliza 10? Maana raia wanaosoma maendeleo ya jamii wanatutisha!!! Mkuu mimi nilijilipua na hiyo ila kemia niliachana nayo form 2, sasa mziki wa BVM Nitaumudu? Hebu nidadavulie hapo!
 
huyu dogo naona ana utamii hata hiyo koziii ya kwanza aliochaguliwa sidhani kama ataiweza even though ni wasichana tu wanayoisoma... by da way hongera kwa kuwa kijana wa kwanza kuchaguliwa family consumer

hyo koz nimeiomba az the path way to sua xo as i can transfer to bvm..god help me!
 
hyo koz nimeiomba az the path way to sua xo as i can transfer to bvm..god help me!

Ili uweze kuhama lazima kuwe na nafasi (kwa siku hizi BVM inajaa na HESLB hawana hiana nayo) na pili uwe na sifa zinazofanana na wale waliochaguliwa. Kuwa SUA siyo ticketi ya kuhamia BVM au degree yeyote nyingine.

Lingine ni kuwa ili uweze kumudu hiyo programu lazima uhamie mapema. Faculty ya VET masomo yanaanza siku ya kwanza ya kufungua chuo na timetable yake ni tight (hapa sikutishi) hivyo ukichelewa kuhama unaweza kupata tabu ya ku-cope na masomo.

Zaidi ya hapo jaribu bahati yako na uwe tayari kuchapa kazi yaani kuchapa kazi kweli.
 
Ili uweze kuhama lazima kuwe na nafasi (kwa siku hizi BVM inajaa na HESLB hawana hiana nayo) na pili uwe na sifa zinazofanana na wale waliochaguliwa. Kuwa SUA siyo ticketi ya kuhamia BVM au degree yeyote nyingine.

Lingine ni kuwa ili uweze kumudu hiyo programu lazima uhamie mapema. Faculty ya VET masomo yanaanza siku ya kwanza ya kufungua chuo na timetable yake ni tight (hapa sikutishi) hivyo ukichelewa kuhama unaweza kupata tabu ya ku-cope na masomo.

Zaidi ya hapo jaribu bahati yako na uwe tayari kuchapa kazi yaani kuchapa kazi kweli.

thanx bro i ll do that
 
Back
Top Bottom