Nataka kuhamia faculty ya vetenary medicine naomba process za kufanya ili niweze kuhama

Daaah!! Mdogo wangu we baki huko hukoo... BVM ni hataree zaidi ya hatareee.. Kama umechaguliwa hyo course basi endeleanayo 2..!! Usithubutu kuigusa... Mwaka jana kuna mtu kajinyonga so kua makini..


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

hebu tuthibitishie
 
ndio kaka hayo yote nimeyafkria xana bt jkt ndo imenifunga kaka bt nitawah mapema nikitoka kwenye hk chombo

Ahaaa! Kumbe uko jkt sasa hivi? Mbona ulikuwa huweki bayana unabaki kulaumu jeshi tu? Mimi sidhani kama jeshi lilikuwa linalazimisha mtu kujaza kozi? Hapo tutawasingizia! Ila jaribu kuchambua mawazo uliyopewa humu ili ufikie maamuzi sahihi!
 
Daaah!! Mdogo wangu we baki huko hukoo... BVM ni hataree zaidi ya hatareee.. Kama umechaguliwa hyo course basi endeleanayo 2..!! Usithubutu kuigusa... Mwaka jana kuna mtu kajinyonga so kua makini..


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

naipenda xana kaka dats y nataka nikaixome,nachotaka kujua watanikubalia kuhamia
hyo coz?nijuze
 
Ahaaa! Kumbe uko jkt sasa hivi? Mbona ulikuwa huweki bayana unabaki kulaumu jeshi tu? Mimi sidhani kama jeshi lilikuwa linalazimisha mtu kujaza kozi? Hapo tutawasingizia! Ila jaribu kuchambua mawazo uliyopewa humu ili ufikie maamuzi sahihi!

mie nilikuwa miongon mwa wa2 2liolalamikha tcu na mawazo yetu kupelekwa makao makuu ya jesh kutokana na kupangiwa chuo na coz ambayo haikuwa moyon na jerh kuhaid ku2help ndo maana wakatoa nafas ya kuhama chuo,nimeomba kuhamia coz yenye slots il nkfka malengo yangu yatimie ya kuhama coz na kuomba bvm
 
Wasikutishie SUA kila kozi ni ngumu, inadepend na ulivyojipanga, hadi diploma ratiba yao ni kama ya Bsc unafanya mchezo na sua wewe

dogo hii si bios...sio unaongea ongea tu
 
vp kuhuxu agriculture injiniarng
Ni agricultural engineering na sio agriculture injiniaring.....nakushauri ubadili huu uandishi wako!! kama unajua hesabu(namaanisha pure mathematics na sio bam) na physics unakaribishwa. japo inategemea na utavukua umejipanga!! hamna linaloshindikana...
 
vp kuhuxu agriculture injiniarng
Ni agricultural engineering na sio agriculture injiniaring.....nakushauri ubadili huu uandishi wako!! kama unajua hesabu(namaanisha pure mathematics na sio bam) na physics kiasi unakaribishwa. japo inategemea na utavukua umejipanga!! hamna linaloshindikana...
 

hv kuhamia coz n ngumu xana au kuna kaz xan?
 
course ,na faculty , faculty ni kitivo ,ambacho ndani yake ndio kuna course
 
Nyie watu wa SUA acheni ubinafsi wa kishamba dogo anaomba ushauri mnamkatisha tamaa eti BVM ngum na sisi wa Civil engeneering tutasemajehakuna kigumu ktk kujidhatiti maana hata socialogy ni ngumu kwa wanaiona ngumu.dogo mm nakushauri nenda admission watakupa muongozo achana ha hivi vibabu vinavyoona unaenda kuziba riziki yao kutokana na ufinyu wa mawazo yao.mm nilijua ubinafs na ushamba wa watu wa SUA ni makazini tu kumbe tangu huko chuoni
 

thanx kaka 4 ur advce,xo kuhama nijipange na hela au!
 
naipenda xana kaka dats y nataka nikaixome,nachotaka kujua watanikubalia kuhamia
hyo coz?nijuze

Ukienda na utoto wako huo wa "nikaixome, xana" uta disco semester ya kwanza tu. Nenda admissions office watakupa A B Cs za kufanya, ni vema ikawa ndani ya zile wiki mbili za kwanza wakati wa orientation.Kila la kheri masomoni.
 
Ukienda na utoto wako huo wa "nikaixome, xana" uta disco semester ya kwanza tu. Nenda admissions office watakupa A B Cs za kufanya, ni vema ikawa ndani ya zile wiki mbili za kwanza wakati wa orientation.Kila la kheri masomoni.

Baba V kuna vijana wengi humu jukwaani wanaleta utani,,sifa,utoto,uhuni nk:jaribu kuingia thread tofauti tofauti utagundua hako kamchezo kamekithiri,weka kambi japo hata siku2 uwape darasa ,sababu nahisi wanashusha hadi ya hili jukwaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…