Naombeni msaada wakubwa zangu mimi nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm.
1: Je, inawezekana?
2: Changamoto zake ni zipi?
3: Je, inabi mchakato uanze lini?
4: Je, inachukua muda gani kukamilika?
5: Ina gharama kiasi gani?
Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏
Naombeni ustaarabu wa majibu shukran.
1: Je, inawezekana?
2: Changamoto zake ni zipi?
3: Je, inabi mchakato uanze lini?
4: Je, inachukua muda gani kukamilika?
5: Ina gharama kiasi gani?
Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏
Naombeni ustaarabu wa majibu shukran.