Nataka kuhamia UDSM kutoka DUCE na kubadili kozi, inawezekana?

Nataka kuhamia UDSM kutoka DUCE na kubadili kozi, inawezekana?

Inawezekana, ni ufaulu wako tu!

Changamoto ni mkopo kuchelewa kuhamishwa kutoka huko uliko (duce) kwa muda fulani kwenda udsm.
🙏🙏sawa kaka lakini mda uwo ukichelewa unaweza unakuwa haupati kabxa totally au
 
Muda ni baada ya kufungua chuo inaenda hadi wiki mbili dirisha linafungwa na maombi ya kuhama kozi hayafanywi kwenye ofisi za admission zinafanyika kwenye Academic Registration Information System(Aris) mfumo wa taarifa mbali mbali za wanafunzi nahisi baada ya kupata admission letter mtaambiwa mfungue huo mfumo...unaomba uko kuna kipengele cha program transfer chap kwa haraka tu kama umekidhi vigezo unachaguliwa tu kozi unayotaka ila muda mwingine wanataka uwe umelipa ada yote ya semester ndio uruhusiwe...Duce kwenda main campus ni rahisi kwa sababu ni chuo icho icho tu
 
Muda ni baada ya kufungua chuo inaenda hadi wiki mbili dirisha linafungwa na maombi ya kuhama kozi hayafanywi kwenye ofisi za admission zinafanyika kwenye Academic Registration Information System(Aris) mfumo wa taarifa mbali mbali za wanafunzi nahisi baada ya kupata admission letter mtaambiwa mfungue huo mfumo...unaomba uko kuna kipengele cha program transfer chap kwa haraka tu kama umekidhi vigezo unachaguliwa tu kozi unayotaka ila muda mwingine wanataka uwe umelipa ada yote ya semester ndio uruhusiwe...Duce kwenda main campus ni rahisi kwa sababu ni chuo icho icho tu
Asante kwa maelezo yak ya kina🙏🙏 ila naomba niulize mfumo huo wote haupo online au ni lazma ufanyike chuoni
 
Naombeni msaada wakubwa zangu mm nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm.
1:je inawezekana?
2: changamoto zake ni zipi?
3:je inabi mchakato uanze lini?
4:je inachukua nda gani kukamilika?
5:ina gharama kiasi gani?
Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏
Naombeni ustaarabu wa majibu shukran
DUCE ni college ndani ya UDSM kwavile imejengwa nje ya main campus unajiona kama husomi UDSM. anyway fuatilia uhamie hapo Main Campus.
 
Naombeni msaada wakubwa zangu mimi nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm.

1: Je, inawezekana?
2: Changamoto zake ni zipi?
3: Je, inabi mchakato uanze lini?
4: Je, inachukua muda gani kukamilika?
5: Ina gharama kiasi gani?

Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏

Naombeni ustaarabu wa majibu shukran.
Ni kozi gani uliyachguliwa hapo DUCE?na ni kozi gani ambayo unataka kuhamia hapo main campus.?
 
Duce nimechaguliwa bachelor of education in science nataka bachelor of sciences in physics and chemistry ambayo iko udsm na duce haipo hio
Nakushauri baki DUCE ila soma bachelor of science with education (Physics and Chemistry). Hiyo bachelor of science in physics and chemistry ina changamoto mbili ambazo ni 1. Ugumu wa kuajiriwa na kujiajiri 2. Ugumu wa kupata GPA nzuri kwa uzoefu wa waliosoma hiyo programme pale UDSM.
 
Nakushauri baki DUCE ila soma bachelor of science with education (Physics and Chemistry). Hiyo bachelor of science in physics and chemistry ina changamoto mbili ambazo ni 1. Ugumu wa kuajiriwa na kujiajiri 2. Ugumu wa kupata GPA nzuri kwa uzoefu wa waliosoma hiyo programme pale UDSM.
Na mimi na mshauri asome hapo Duce hiyo program aliyo chaguliwa hiyo ya

UDSM anayotaka kuhamia itamsumbua baadae.
 
Back
Top Bottom