Wauzaji wa containers
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 615
- 1,443
Mkopo siku hizi wanahamisha mapema SanaInawezekana, ni ufaulu wako tu!
Changamoto ni mkopo kuchelewa kuhamishwa kutoka huko uliko (duce) kwa muda fulani kwenda udsm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkopo siku hizi wanahamisha mapema SanaInawezekana, ni ufaulu wako tu!
Changamoto ni mkopo kuchelewa kuhamishwa kutoka huko uliko (duce) kwa muda fulani kwenda udsm.
🙏🙏sawa kaka lakini mda uwo ukichelewa unaweza unakuwa haupati kabxa totally auInawezekana, ni ufaulu wako tu!
Changamoto ni mkopo kuchelewa kuhamishwa kutoka huko uliko (duce) kwa muda fulani kwenda udsm.
Ko we unataka usome mlimani au sio😂Ila nsi viko sehem tofauti kaka
🙏🙏🙏Kama hiyo ndîo sababu unaweza kuandika barua.
Na mchakato huo ufanyike ndàni ya Mwezi mmoja
Hapana kaka shida sio hio shida ni kozi mkuuKo we unataka usome mlimani au sio😂
Daaa 🙏🙏 shukran lakini kaka mi kwa kesho wala wiki ijayo sidhani kama nita weza kulipoti hapo itakwajeKuhusu boom ukihamia udms utaongea na loan officer atakuhamishia
Ila nenda kesho chuoni usisubiri dirisha la transfer nakuambia Kwa uzoefu.
Asante kwa maelezo yak ya kina🙏🙏 ila naomba niulize mfumo huo wote haupo online au ni lazma ufanyike chuoniMuda ni baada ya kufungua chuo inaenda hadi wiki mbili dirisha linafungwa na maombi ya kuhama kozi hayafanywi kwenye ofisi za admission zinafanyika kwenye Academic Registration Information System(Aris) mfumo wa taarifa mbali mbali za wanafunzi nahisi baada ya kupata admission letter mtaambiwa mfungue huo mfumo...unaomba uko kuna kipengele cha program transfer chap kwa haraka tu kama umekidhi vigezo unachaguliwa tu kozi unayotaka ila muda mwingine wanataka uwe umelipa ada yote ya semester ndio uruhusiwe...Duce kwenda main campus ni rahisi kwa sababu ni chuo icho icho tu
Huu ni uongo 100%.Nilichagua udsm ila nikapelekwa duce maana ni kampac yake ko duce admission yake inafanyikia udsm hata kama uja ichagua unaweza pelekwa
DUCE ni college ndani ya UDSM kwavile imejengwa nje ya main campus unajiona kama husomi UDSM. anyway fuatilia uhamie hapo Main Campus.Naombeni msaada wakubwa zangu mm nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm.
1:je inawezekana?
2: changamoto zake ni zipi?
3:je inabi mchakato uanze lini?
4:je inachukua nda gani kukamilika?
5:ina gharama kiasi gani?
Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏
Naombeni ustaarabu wa majibu shukran
Gharama zake zikoje pindi unapokwa unahamaDUCE ni college ndani ya UDSM kwavile imejengwa nje ya main campus unajiona kama husomi UDSM. anyway fuatilia uhamie hapo Main Campus.
Hakuna Uongo hapo,Huu ni uongo 100%.
Asante kwa kunisaidia kakaHakuna Uongo hapo,
Mdogo wangu alichsgua UDOM na UDSM ajabu taarifa ikaja ya kwenda DUCE tukaghairi ikabidi aende UDOM. Tena amemaliza mwaka huu,
Hiyo ipo sanaAsante kwa kunisaidia kaka
Ni kozi gani uliyachguliwa hapo DUCE?na ni kozi gani ambayo unataka kuhamia hapo main campus.?Naombeni msaada wakubwa zangu mimi nampango wa kuhama chuo na mdahuohuo ni badili na kozi i.e kutoka DUCE kwenda udsm.
1: Je, inawezekana?
2: Changamoto zake ni zipi?
3: Je, inabi mchakato uanze lini?
4: Je, inachukua muda gani kukamilika?
5: Ina gharama kiasi gani?
Naombeni kwa anaejua anijibie maswali hayo🙏🙏
Naombeni ustaarabu wa majibu shukran.
Duce nimechaguliwa bachelor of education in science nataka bachelor of sciences in physics and chemistry ambayo iko udsm na duce haipo hioNi kozi gani uliyachguliwa hapo DUCE?na ni kozi gani ambayo unataka kuhamia hapo main campus.?
Nakushauri baki DUCE ila soma bachelor of science with education (Physics and Chemistry). Hiyo bachelor of science in physics and chemistry ina changamoto mbili ambazo ni 1. Ugumu wa kuajiriwa na kujiajiri 2. Ugumu wa kupata GPA nzuri kwa uzoefu wa waliosoma hiyo programme pale UDSM.Duce nimechaguliwa bachelor of education in science nataka bachelor of sciences in physics and chemistry ambayo iko udsm na duce haipo hio
Na mimi na mshauri asome hapo Duce hiyo program aliyo chaguliwa hiyo yaNakushauri baki DUCE ila soma bachelor of science with education (Physics and Chemistry). Hiyo bachelor of science in physics and chemistry ina changamoto mbili ambazo ni 1. Ugumu wa kuajiriwa na kujiajiri 2. Ugumu wa kupata GPA nzuri kwa uzoefu wa waliosoma hiyo programme pale UDSM.