Nataka kuingia kwenye Mahusiano, nianzie wapi

Nataka kuingia kwenye Mahusiano, nianzie wapi

Nipeni uzoefu ndugu zangu, mimi kijana wenu hapa 23 years old man, but look as young as 16 or 17, and handsome.

Nimechoka kuwa single, Nataka kuingia kwenye mahusiano lakini sioni mlango wa kuingilia, yaani sijui nianzie wapi, nikisema nianze kutongoza hata marafiki wachache wakike nilonao nitawapoteza kabisa, nikisema niongeze kuwa social yaani 'kichomozo' nitaonekana cheap na wengi watanotice hilo.

Sasa wakuu naombeni uzoefu, natanguliza shukrani
Anza kwa kutafuta shughuli ya kufanya angalau uwe unameki laki 1 kila week. Hapo safari ya mahusiano itakuwa kama lami😁.

Hutatafuta mwanamke ila wao ndio watakutafuta ili uwe nao kwenye mahusiano. Ukizingatia hilo utakuja kunipa shukurani sana. Hakikisha mahusiano yanakutafuta wewe sio wewe uyatafute na njia pekee ya kufanikiwa katika hilo ni kuwa na uchumi imara.
 
Back
Top Bottom