pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
- Thread starter
- #361
Kupata ama kutopata haikuhusu mana huna msaada wowote kwangu kulingana na mada mezani na sion haja ya kukuambia kua nimepata ama sijapata mana haitakusaidia Wala kunisaidia ila Unaongea ama kutoa koment kama nani kwenye hii thread..who tha fuckh are youMkuu, toka Nov 22 mwaka jana unambembeleza shetani anunue roho yako bado bilabila, huoni kwamba haina soko, au Iblisi amesafiri. Kalime mahindi sumbawanga, huo ndio ushauri wa bure, BWANA Mkubwa alisema tutakula kwa jasho, hakuna mbadala