Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya

Nataka kuiona nguvu ya milioni 2 kwenye biashara mpya

#1 is the best,ukiweza kidogo unaongeza na kibanda cha kuuza zile polish za dushboard,car mats kisha unamtafuta fundi mzoefu mmoja hapo Dom unamuomba akushauri vile vitu vinasaidia gari kuwa vizuri hasa kwenye engine,pia uweke baadhi ya oil litre 1&5 pia brake fluid hivi ni vitu ambavyo watu huongeza papo kwa hapo havihitaji ufundi sana so mtu akikuta unacho anakuunga.

Kuna vimiminika fulani kama oil huwa vinachanganywa na diesel or petrol vinasaidia sana kufanya gari mafuta yaende vizuri pia ukiviweka hivi inakuwa rahisi kuwauzia wateja zako ukiwaelewesha,pia ningekushauri ufanye hiyo #5 ambayo ulishawahi kuifanya.

Kila la heri mkuu.
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa kujilipua nadhani hatutofautiani Sana na mimi.
Ushauri wangu kwenye kitu chochote utakachoamua kufanya jitahidi kucontrol presha kutoka kwa ndugu ama marafiki zako waliokwishafanikiwa, usijilinganishe na mtu kabisa, Kuna msemo mmoja mzuri * usilinganishe page namba 1 yako kimaisha na page no 10 ya mwenzako*,always utakuwa frustrated.
So start small and build. Jipe muda mrefu wa kutusua walau hata miaka mitano, hapo Kati kosea Sana na kujifunza .
Na hakikisha unajifunza kutoka kwa watu waluofanikiwa hata kwa kusoma vitabu vyao ama kuhudhuria event zao itakupa nguvu ya kuendelea kupambana.
 
#1 is the best,ukiweza kidogo unaongeza na kibanda cha kuuza zile polish za dushboard,car mats kisha unamtafuta fundi mzoefu mmoja hapo Dom unamuomba akushauri vile vitu vinasaidia gari kuwa vizuri hasa kwenye engine,pia uweke baadhi ya oil litre 1&5 pia brake fluid.

Kuna vimiminika fulani kama oil huwa vinachanganywa na diesel or petrol vinasaidia sana kufanya gari mafuta yaende vizuri pia ukiviweka hivi inakuwa rahisi kuwauzia wateja zako ukiwaelewesha,pia ningekushauri ufanye hiyo #5 ambayo ulishawahi kuifanya.

Kila la heri mkuu.
Biashara hii ni nzuri changamoto ni kwenye eneo kwa ajili ya hiyo biashara....kama umekodi kwa mswahili akiona unapata...unashangaa timbwilitimbwili linaanza
 
Nilichokiona katika hii biashara ni kuwa ukiweka kilo nyingi zitakuwa zinalala na kukuharibia soko;kwa upande wangu suluhisho ni kuwa nazo nyingi na kila moja isizidi kilo 50 kwa siku

Hilo ni kweli kabisa kama haijazoeleweka na wateja na ni mpya ina changamoto kidogo ila kama unaweza kuweka hata mbili kwa kubebana ni vizuri zaidi
La kujiuliza je hiyo kilo 50 itakulipa kwa kodi na ushuru pamoja na mishahara?
 
Back
Top Bottom