Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Kiuhalisia kama tayari una kiwanja, unaweza kuwa na ghorofa la KontenaWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Anza ujenzi hela nyingi sana...mwaka juzi kuna jamaa alianza kujenga ghorofa kwa million 4 na nusu saiz kashahamiaWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Au yale magofora ya mirunda ya mbugani mbona kwa million 5 anatusua mwez wa 6 kashahamiaUnaweza kujenga na kuhamia kabisa mkuu, kinachotakiwa hapa ni bajeti ya kujenga ghorofa lenye thaman ya 5ml.
INAWEZEKANA, Jenga ghorofa la ngazi mbili, tofari fyatua na uchome mwenyewe, fundi uwe mwenyewe ila weka watu wa kukusaidia.
Sehemu zote za kupiga ringbeam na rinta tumia magogo yaliyopasuliwa vizuri siyo zege wala nondo, Zile floor zinazowekwa jamvi wewe tumia magogo pia mkuu, milango iwe michache na madirisha pia na tumia mabati kutengeneza shutter zake. Ezeka kwa nyasi vizuri tafuta waezekaji maalum wa nyasi. Piga plasta ndani tu.
Choo iwe ya nje shimo refu ya kulengesha na mlango wa kiwango cha chini.
Tumia plan hii kujenga ghorofa ya milion 5, usisahau kutuletea taarifa na picha baada ya kumaliza ujenzi. {Ukihitaji ramani hiyo njoo pm tuyajenge mkuu}
Inategemeana naWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Sijanunua material ila mafundi siwalipi chochote,Inategemeana na
- Ukubwa wa nyumba yako ,mana inaweza una chumba kimoja chini na juu kimoja.
- Matilio uliyopanga kutumia,,labda umepanga kujenga nyumba ya udongo au Nyasi.
- Inawezekana hiyo 5M kumbe ni 5M Dollars,ambayo sawa na over 100M in Tsh.
- Pia inawezekana mwenzetu matilio zote ushanunua, na hiyo 5M kama ni Tsh ni kwa ajili ya mafundi tu.
hiyo hela nenda kabetie alaf ikizaa ndio ujenge ghorofaWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Gharama kubwa ya Ujenzi wa Jengo ipo kwenye matilio....Sijanunua material ila mafundi siwalipi chochote,
Kwahiyo wastani wa ramani ndogo ya kujenga ghorofa ianzie kiasi gani, ?hiyo hela nenda kabetie alaf ikizaa ndio ujenge ghorofa
Mimi ndoto yangu ni kujenga ghrofa ndani ya miaka mitatu lazima,Sijanunua material ila mafundi siwalipi chochote,
kusimamisha inaweza gharrimu kama 20M-30MMimi ndoto yangu ni kujenga ghrofa ndani ya miaka mitatu lazima,
Je wastani wa kusimamisha jengo la ghrofa ndogo na kuezeka, kisha nikarabati hata chumba kimoja cha kukaa, nafaa niandae kiasi gani?
Tangia nimeweka maada nimeongeza Sh laki mbili hivyo imefika million 5.2kwa hali ya maisha ilivo bila shaka tokea umeandika mada hadi waleo ushatumia sehemu ya hela ya ghorofa
Usipoweka ata msingi utaila hela yote by july