Pepper spray ndo mambo yote. Tafuta hiyo uwakomeshee.
Kama kichwa cha thread kinavyosema juzi nilipoteza simu yangu kipenzi baada ya mtu mzima kuwekwa chini!!
sasa mim nataka kujifua ili nisikalishwe chini lakini niwakalishe chini.
kwa sasa naomba mtu anielekeze pa kujifua mimi nipo Dar pande za Kigambonii..
unataka watu wawe vipofu?!Pepper spray ndo mambo yote. Tafuta hiyo uwakomeshee.
Kama kichwa cha thread kinavyosema juzi nilipoteza simu yangu kipenzi baada ya mtu mzima kuwekwa chini!!
sasa mim nataka kujifua ili nisikalishwe chini lakini niwakalishe chini.
kwa sasa naomba mtu anielekeze pa kujifua mimi nipo Dar pande za Kigambonii..
kweli inabidi ukajifunze hizo vitu, mjini inabidi ujue kurusha hata mbili tatu, la sivyo unaweza shangaa siku unaliwa hata kibogah... #justsaying
Pepper spray ndo mambo yote. Tafuta hiyo uwakomeshee.
Pepper spray ndo mambo yote. Tafuta hiyo uwakomeshee.
au kama vipi awe anatembea na kipiga shoti "electric taser gun" kama changu, nishawahi kuwapiga nacho mateja kama wawili kwenye korodani mbona mpaka leo wanatoa heshima maana hata hawakujua ni nini kimewasibu...
mkuu hiyo electric gun ndio mpango mzima, vinauzwa wapi bob?au kama vipi awe anatembea na kipiga shoti "electric taser gun" kama changu, nishawahi kuwapiga nacho mateja kama wawili kwenye korodani mbona mpaka leo wanatoa heshima maana hata hawakujua ni nini kimewasibu...
King hulali? Au mzee amekufrastreti?
Hivi mlivyovitaja vinapatikana kweli huko kwetu,na sheria ya jeshi la polisi inasemaje juu ya umilikaji wa vitu hivi..?? H apa naomba msaada zaidi kwa Ruttashobolwa
unataka watu wawe vipofu?!