stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,105
Kama kichwa cha thread kinavyosema juzi nilipoteza simu yangu kipenzi baada ya mtu mzima kuwekwa chini!
Sasa mim nataka kujifua ili nisikalishwe chini lakini niwakalishe chini.
Kwa sasa naomba mtu anielekeze pa kujifua mimi nipo Dar pande za Kigambonii.
Sasa mim nataka kujifua ili nisikalishwe chini lakini niwakalishe chini.
Kwa sasa naomba mtu anielekeze pa kujifua mimi nipo Dar pande za Kigambonii.